Moran Stadi za Kiswahili Grade 7 (Approved) by Moran
Original price was: KSh800.00.KSh720.00Current price is: KSh720.00.
Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Kiumilisi. Kitabu hiki kina sifa kuu zifuatazo:
-Kimeandikwa kwa Kiswahili cha kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya 7
-Maswali dadisi yametumiwa kumfikirisha mwanafunzi
-Kimejumuisha shughuli za mwanafunzi binafsi, shughuli za wanafunzi wawiliwawili na za makundi ya wanafunzi
-Kimejumuisha mada na mada ndogo zote
-Yaliyomo yamepangwa kulingana na mpangilio wa Kiswahili Gredi ya 7
ISBN: 9789966634580
Reviews
There are no reviews yet.