1
KSh850.00

    Cart

    Quantity
    KSh850.00
    1
    KSh850.00

      Cart

      Quantity
      KSh850.00
      Sale!

      Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1

      Original price was: KSh505.00.Current price is: KSh455.00.

      Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.

      Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:

      (i) Kusikiliza

      (ii) Kuzungurnza

      (iii) Kusoma

      (iv) Kuandika

      (v) Msamiati

      (vi) Sarufi

      ISBN: 9789966511065

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order
      1
      KSh850.00

        Cart

        Quantity
        KSh850.00
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS