Storymoja Cheche za Insha Grade 5 by Storymoja
KSh755.56 Original price was: KSh755.56.KSh680.00Current price is: KSh680.00.
inaakisi Mtaala wa Kiumilisi.
Mazoezi ya ujuzi wa kidyitali.
Mwongozo wa uandishi hatua kwa hatua.
Nafasi za kufanyia mazoezi katika kila sura.
Vielelezo 25 vya insha zinazogusia Mtaala wa Kiumilisi.
Ujuzi wa kuandika unaokuza ujifunzaji endelevu maishani.
Mazoezi ya kukuza msamiati wa mada inayohusika.
Vichocheo zaidi ya 100 vya mazoezi ya kuandika insha bora.
Fursa ya kuchapishs insha yako na kampuni ya storymoja.
ISBN: 9789966623973
Related products
-
OUP Let’s Do Mathematics Wkbk GD5
KSh605.00Original price was: KSh605.00.KSh545.00Current price is: KSh545.00. -
KLB Visionary Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by WANDERA
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Kiswahili Gredi ya Tano (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa kiumilisi kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala
Nchini Kenya (KICD) wa mwaka wa 2019 wa masomo ya shule za msingi, gredi ya tano.
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya ili kukuza uwezo
wake wa kukabili mambo katika maisha.
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili
kumrahisishia ujifunzaji.
• Masuala mtambuko na ya kijinsia yamejumuishwa kitabuni ili kukuza mwanafunzi anayewajibikia mabadiliko maishani.
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa kutumia shajara na kazi mradi katika sehemu ya mwisho ya kila mada. Shajara na kazi mradi zimekusudiwa kumsaidia mwanafunzi kutumia ujuzi wa mambo aliyogundua au kujifunza kutokana na mada husika ili kubuni kitu kipya au kutatua suala fulani katika maisha ya kila siku.ISBN: 9789966656704
-
KLB Visionary Mathematics Learner’s Grade 5 (Approved) by MWANGI
KSh516.00Original price was: KSh516.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartKLB Visionary Mathematics for Grade 5 Learner’s Book is designed to help the learners acquire computational skills at this level. The book contains numerous activities that enable the learner to develop numeracy skills without undue difficulty.
• This book is developed in line with the requirements of the Competency-Based Curriculum and subject design.
• The content is presented in concise language appropriate to the level of the learner.
• The style is simple, making the book highly readable and the concepts easy to understand.
• The book contains full-colour illustrations designed to hold the attention and interest of the learners.
• The learner’s book has employed a learner-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations.
• Every lesson draws from day-to-day occurrences which form the basis for lesson introduction.
• The book has numerous practical activities and examples that enable the learner to learn on their own with minimum input from the teacher.ISBN: 9789966656582
-
OUP Growing in Christ CRE Grade 5 Learner’s (Approved) by HEZRON ONYANGO
KSh644.00Original price was: KSh644.00.KSh580.00Current price is: KSh580.00.Add to cartGrowing in Christ Christian Religious Education Learner’s Book, Grade 5
The Growing in Christ series is specially written to provide practical experiences that will build the learners’ knowledge and understanding of the Christian faith, as well as equip them with values, skills, and attitudes that will assist them to live well with self and others. Books in the series have a wide range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at the acquisition and appreciation of the core competencies, values, and pertinent and contemporary issues.
Growing in Christ CRE Learner’s Book Grade 5 provides:
• Content that is structured according to the curriculum design.
• Activities that present real-life situations where learners can solve problems through creativity and critical thinking.
• Bible reading sections that present activities on selected Bible verses.
• School activities that enhance learning outside of the classroom, but within the school community.
• Home and community activities that enhance learning at home and in the community.
• Fun spots that make learning fun and exciting through songs, poems, and much more.A Teacher’s Guide is available for each Learner’s Book in the series.
ISBN: 9780195748987
-
Kurunzi ya Kiswahili Grade 5 Mwanafunzi (Approved) by A. Matei, J. Mwamburi, F. Wangome, F. Atulo
KSh639.00Original price was: KSh639.00.KSh575.00Current price is: KSh575.00.Add to cartKurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha mwanafunzi kumudu mtalaa huu unaolenga umilisi kwa njia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ufunzaji.
Kitabu hiki
• Kimeshughulikia mada kwa njia inayomwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
• Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali. Mada hizi zinalenga kuimarisha umilisi wa kusikiliza kwa makini, kuzungumza kwa ujasiri, kusoma kwa ufasaha na kuandika vyema.
• Kuna mazoezi na mijarabu kama vile shughuli kwa mwanafunzi, shughuli ya vikundi, kazimradi, shughuli ya nyumbani na michezo ili kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi kwenye stadi mbalimbali za lugha.
• Picha halisi na michoro ya kuvutia inamsaidia mwanafunzi katika uelewa wa mada.
• Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia vifaa vya teknolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
• Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi ya uwekezaji, shughuli nje ya darasa, kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
• Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa.
•Kitabu cha mwalimu kipo ili kumpa mapendekezo katika ufunzaji.ISBN: 9789966572455
Reviews
There are no reviews yet.