1
KSh470.00

    Cart

    1
    KSh470.00

      Cart

      Sale!

      Maajabu ya Sudi by Mbagga

      Original price was: KSh244.00.Current price is: KSh220.00.

      Sudi ni mvulana aliye na sifa za kiajabuajabu tangu anapozaliwa. Anazaliwa usiku wa manane, anatabasamu na ana sura jamali. Anapoanza kukua, anawashangaza wazazi na ndugu zake kwa jinsi anavyoelewa na kufanya mambo kwa haraka tofauti na watoto wengine. Vitendo vya Sudi pia vinawashangaza wanakijiji. Mambo mengi anayoyafanya Sudi yanawafanya watu kuamini kuwa yeye si mvulana wa kawaida. JE, Ni mambo yapi anayoyafanya Sudi na yanayowashangaza wengi?

      ISBN : 9789966342690

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Maajabu ya Sudi by Mbagga”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order
      1
      KSh470.00

        Cart

        Call Us
        COMPARE PRODUCTS