Longhorn Mwanga Wa Kiswahili Grade 8 (Approved) by Longhorn
KSh833.00 Original price was: KSh833.00.KSh750.00Current price is: KSh750.00.
Kitabu hiki kimeandikwa kwa ustadi, umahiri mkubwa na kwa lugha ya kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya Nane. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala wa kiumilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la kenya.Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalumu pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali.
ISBN: 9789966644077
Related products
-
Mentor Kielekezi cha Kiswahili Gredi 8 (Approved) by Mentor
KSh1,022.23Original price was: KSh1,022.23.KSh920.00Current price is: KSh920.00.Add to cartKielekezi cha Kiswahili Gredi ya 8 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumrahisishia mwanafunzi kuelewa na kufikia matokeo maalumu
yanayotaragjiwa.Kitabu hiki:
-Kimeandikwa kumwezesha mwanafunzi kukuza na kujenga ujuzi na uwezo wa kutumia stadi za lugha; Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma, Kuandika na Sarufi.
-Kimeandikwa kwa lugha rahisi na kutoa mifano mwafaka katika mazingira tofautitofauti.
-Kimeshughulikia masuala mtambuko kama vile: uraia, utangamano, elimu ya amani, stadi za maisha, mazingira, elimu ya maendeleo endelevu, teknolojia na afya bora.
-Kina mazoezi muhimu ya kumtathmini mwanafunzi na pia kujitathmini.
-Kina maswali ya tathmini mwishoni mwa kila sura ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio zaidi.
-Kimeandikwa na waandishi wenye tajriba kubwa katika ufundishgji wa somo la Kiswahili katika shule bora nchini Kenya. Wanaelewa vyema mahitaji ya mwanafunzi na mwalimu katika somo la Kiswahili na Mtaala wa Kiumilisi.
-
OUP Kiswahili Fasaha Grade 8 (Approved) by Oxford
KSh1,005.56Original price was: KSh1,005.56.KSh905.00Current price is: KSh905.00.Add to cartKiswahili Fasaha ni msururu ulioandikwa kwa njia ya kipekee na unaokidhi mahitaji yote ya Mtaala wa Kiumilisi. Vitabu katika msururu huu vina shughuli anuwai ambazo zinalenga kumsaidia mwanafunzi kupata umilisi, maadili na masuala mtambuko
yanayokusudiwa katika mtaala.Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8 kina:
-Shughuli mbalimbali zitakazomwezesha mwanafunzi kupata stadi zote nne za lugha – Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na
Kuandika – pamoja na matumizi ya sarufi kimuktadha-Sehemu za Zinduo ambazo zinatoa maelezo ya kina kuhusu dhana husika
-Sehemu za Elimujamii ambazo zinampa mwanafunzi nafasi ya kuendeleza ujifunzaji wake nje ya darasa
-Sehemu za Dijitika ambazo kwazo mwanafunzi ana nafasi ya kutangamana na vifaa vya kidijitali katika kufanya mazoezi
-Michoro ya rangi inayochangia uelewa wa dhana zinazofunzwa
-Tathmini binafsi baada ya kila mada kuu ili kumsaidia mwanafunzi kupima uelewa wake wa dhana husika
-Sehemu ya Tafakari mwishoni mwa kila suala kuu, ambayo inalenga kumpa mwanafunzi ari ya kutumia aliyojifunza ili kuboresha hali yake na ya jamii nzima.
ISBN: 9789914441482
-
OUP Business Studies Today Grade 8 (Approved) by Oxford
KSh838.89Original price was: KSh838.89.KSh755.00Current price is: KSh755.00.Add to cart
Business Studies Today is a series specially written to provide practical experiences that support the acquisition of business skills for the Competency Based Curriculum. Books in the series have a wide range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition and appreciation of the core competencies, values, and Pertinent and Contemporary Issues (PCIs).
Business Studies Today, Learner’s Book Grade 8 has:
-Warm-up sections that enable the learners to have a glimpse of what they are going to learn.
-Numerous interactive activities creatively presented to enable the learners acquire business knowledge and skills.
-Digital activities aimed at integrating digital technology in learning.
-‘Did you know?’ sections that present the learners with interesting facts related to a topic.
-Out of class activities aimed at engaging the learners outside the classroom through non-formal learning and parental engagement.
-Reflection sections that offer the learners an opportunity for self-evaluation.
-Case studies that help the learners relate what they have learnt to real life situations.
-Fun spot sections that provide breaks for the learners through fun stories and tasks.
-Read and learn sections with key learnings in each strand.
-Assessment sections that aid in formative and summative assessment.
ISBN: 9789914441680
-
Spark Integrated Science Learner’s Book for Grade 7
KSh722.00Original price was: KSh722.00.KSh650.00Current price is: KSh650.00.Add to cartThis book has been approved by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD). It comes along with the most comprehensive Teacher’s Guide.
- Author:
- Jackson Muraya, Francis N. Kinaka, Martin Bunguswa, Alice w. Kanyoro
-
Longhorn Agriculture Grade 8 (Approved) by Longhorn
KSh722.23Original price was: KSh722.23.KSh650.00Current price is: KSh650.00.Add to cartLonghorn Agriculture Learner’s Book Grade 8 is a new, concise and comprehensive course book written for Grade 8 learners. It is developed in line with the Kenya Competency-Based Curriculum (CBC). The aim is to give learners opportunities to develop a wide range of skills and competencies envisaged in the curriculum.
This book has the following key features:
-Appealing and eye friendly design for ease of reading.
-Use of simple language that is to the level of the learner.
-Relevant, well drawn and full colour illustrations to ease understanding of concepts.
-Well thought-out and engaging activities that help the learners to learn Agriculture through discovery, using hands-on activities.
-Extended activities that will enhance the learners’ collaboration with their parents, peers and the community.
-Presentation of content using the revised Bloom’s taxonomy with the following skills being tested: remembering, understanding, applying, analysing, evaluating and creating.
ISBN: 9789966644138
Reviews
There are no reviews yet.