1
KSh60.00

    Cart

    Quantity
    KSh60.00
    1
    KSh60.00

      Cart

      Quantity
      KSh60.00
      Sale!

      KISWAHILI SAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI GRADE 8(APPROVED)

      Original price was: KSh688.00.Current price is: KSh620.00.

      Hiki ni kitabu kilichoandaliwa kwa ajili ya kuimarisha ujuzi na umilisi wa mwanafunzi katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, kusoma, kuandika, pamoja na sarufi. Aidha, kinanuiwa kumwezesha mwanafunzi kufikia matokeo maalum yanayotarajiwa kama yalivyopendekezwa katika mtaala.Kitabu hiki kina:

      1.Shughuli za ujifunzaji zinazochochea uwazaji kina  na utatuzi wa matatizo.

      2.Mbinu mbalimbali za ujifunzaji kama vile mijadala, uwasilishaji na uigizaji ili kuimarisha ujifunzaji.

      3.Lugha sahili inayoafiki kiwango cha mwanafunzi.

      4.Mifano mbalimbali inayomwongoza mwanafunzi.

      5.Michoro mbalimbali inayomsaidia mwanafunzi katika kujifunza dhana husika.

      6.Shughuli zinazofanywa na mwanafunzi binafsi na zinazomhitaji kushirikiana na wenzake.

      7.Sehemu ya hoja kuu inayompa mwanafunzi maelezo ya kina kuhusu dhana inayohusika.

      8.Shughuli za kidijitali zinazoimarisha ujuzi wa kidijitali kwa mwanaunzi.

      9.Sehemu ya TATHMINI YANGU inayomwezesha mwanafunzi kujitathmini kwa mujibu wa matokeo maalum yanayotarajiwa.

      10. Sentensi zinazojenga maadili na kuangazia masuala mtambuko.

      Bila shaka kitabu hiki kitampa mwanafunzi hamu ya kujifunza kiswahili.

      kiswahili sahili,Rasa hasa!

      ISBN: 9789914729702

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “KISWAHILI SAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI GRADE 8(APPROVED)”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order
      1
      KSh60.00

        Cart

        Quantity
        KSh60.00
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS