1
KSh290.00

    Cart

    Sale!

    Queenex Mjusi Kafiri na Hadithi Nyingine 2A by Pauline Kea

    Original price was: KSh322.23.Current price is: KSh290.00.

    Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
    Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Gredi ya Pili na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umilisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuko. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki ni:
    – Mwili wangu
    – Familia
    – Siku za wiki

    ISBN: 9789966141149

    Sale!
    Make Your Order
    1
    KSh290.00

      Cart

      Call Us
      COMPARE PRODUCTS