Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Category: Set books

Set books

Showing 1–24 of 32 results

  • Artist of the Floating World – Setbook (Longhorn) by Kazuo Ishiguro

    Original price was: KSh588.89.Current price is: KSh530.00.

    1948: Japan is rebuilding her cities after the calamity; of WWII, her people putting defeat behind them and looking to the future. The celebrated painter Masuji Ono fills his days attending to his garden, his house repairs, his two grown daughters and his erandson, and his evenings drinking with old associates in quiet lantern-lit bars. His should be a tranquil retirement. But as his memories continually return to the past to life and a career deeply touched by the rise of Japanese militarism — a dark shadow begins to grow over his serenity.

    ISBN: 9789966643667

    Add to cart
  • Bembea ya Maisha – Set Book by Timothy M Arege

    Original price was: KSh516.00.Current price is: KSh465.00.

    Bembea ya Maisha ni hadithi kuhusu Yona na mkewe Sara pamoja na Bunju na mkewe Neema. Wahusika hawa wanajikuta katika vuta n’kuvute inayochochewa na mitazamo ya kitamaduni, uhalisia wa mambo pamoja na matamanio ya wahusika binafsi. Baina yao kuna mitikiso inayotishia familia, ndoa na mahusiano ya kijamii. Kuna shutma, shaka, tuhuma na mivutano. Lakini pia kuna hongera, imani, ushirikiano, upendo, kutanabahi na mshikamano. Katika huu mseto wa mambo ipo sauti imara ya Sara inayosikika ikihimiza na kuzindua. Sauti inayoiona kila hali mfano wa bembea.

    ISBN: 9789966194534

    Add to cart
  • Betrayal in the City

    Original price was: KSh533.33.Current price is: KSh480.00.

    Short Summary of Betrayal in the City: Betrayal in the City by Francis Imbuga explores government corruption, oppression, and the powerlessness of citizens in a fictional African country, Kafira. The play highlights the struggles of ordinary people, like Doga and Nina, whose son Adika is killed during a student protest. As the characters fight for …

    Betrayal in the CityRead More

    Add to cart
  • Bibo

    Original price was: KSh222.00.Current price is: KSh200.00.
  • Common Mistakes in English by T. J Fitikides

    Original price was: KSh711.00.Current price is: KSh640.00.

    Common Mistakes in English takes more than 550 examples of typical errors (for example, words that are often confused, misused, or used with the wrong preposition) and offers a correct version and explanation that will help students avoid making the same mistakes themselves. An invaluable book for students who are keen to ‘get it right’ every time.

    ISBN: 9780582344587

    Add to cart
  • Dumpsite Puzzle by Kabui

    Original price was: KSh483.00.Current price is: KSh435.00.

    Kevin and Martin find themselves on the trail of dangerous criminals as they try to discover what happens at a mysterious dumpsite. With the man in a purple suit hot on their heels, what will the boys do? Will Uncle Ben show up?

    ISBN: 9780195736175

    Add to cart
  • Dunia tambara bovu

    Original price was: KSh555.55.Current price is: KSh500.00.
  • Father of Nations (Setbook) by Paul B.Vitta

    Original price was: KSh627.00.Current price is: KSh565.00.

    The very best of the world’s best have discovered a way to develop Africa: Way Omega. Now Africa’s heads of state are at a summit to approve it as their common development strategy. If they do, it promises Africa will start developing immediately. Unknown to the summit are several aggrieved conspirators who are plotting to defeat Way Omega and replace it with a rival strategy: Path Alpha. Their path, they say, is the only way to develop Africa. Should the summit still approve Way Omega, or should it turn around and approve Path Alpha instead? Fathers of Nations is a satire on contemporary African politics.

    ISBN: 9780195749618

    Add to cart
  • Football Fan 3l by Muitungu

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. There are twelve storybooks for each class specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course. Here is a reading scheme that offers the modern child an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the child has fun that’s built to last.

    ISBN: 9780195734287

    Add to cart
  • Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book

    Original price was: KSh544.00.Current price is: KSh490.00.
  • Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book

    Original price was: KSh544.00.Current price is: KSh490.00.

    Mapambazuko ya Machweo na Hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi wa kipekee kwani umewashirikisha waandishi wenye tajriba pevu katika fani ya uandishi na kuwapa nafasi waandishi wachanga katika tasnia ya uandishi wa kifasihi. Waandishi waliochangia katika mkusanyiko huu wameonyesha ubunifu mkubwa kwa kusawiri uhalisia wa maisha katika mazingira yao tofauti.

    Suala la uhalisia wa maisha na mwingiliano wake na fasihi haliwezi kupuuzwa kwani fasihi ni kioo cha jamii.

    Mkusanyiko huu una hadithi zenye maudhui mbalimbali na zinazosheheni migogoro itakayowafikirisha wasomoji. Hali kadhalika, huu ni mkusanyiko wa kwanza wa hadithi fupi kuwahi kuchapishwa ulio na idadi karibu sawa ya waandishi wa kike na wa kiume.

    ISBN:9789914987195

    Add to cart
  • Moran Pearls: President’s Son by Koranteng

    Original price was: KSh550.00.Current price is: KSh495.00.

    ‘Now that you are the President’s son, you are left with only one thing.’

    ‘What is it?’

    ‘The guts and aplomb that go into the President’s son!’

    The two rogues would like to reap where they have not sown.

    Will Tabi impersonate the President’s son? Will the sugarcoated words be enough to get them to the land of milk and honey?

    ISBN: 9789966630254

    Add to cart
  • Mshale wa Matumaini Grade 7 (Access) by John Habwe

    Original price was: KSh444.00.Current price is: KSh400.00.

    Zingo na mama yake wanakimbilia ughaibuni kufuatia mzozo wa kikabila katika nchi yao. Huko ughaibuni wanakabiliwa na matatizo mengi. Zingo anafanya bidii kuyakabili licha ya umri wake mdogo. Hata hivyo, kinachomstaajabisha na kumhuzunisha ni kuhusishwa na baba yake ambaye anatuhumiwa kuwa mhalifu wa kivita. Zingo anabaguliwa na wenzake lakini anapiga moyo konde na kuendelea na masomo yake ambayo sasa yanampa matumaini ya kuyageuza maisha yake ya karaha kuwa ya furaha. Hii ni hadithi ya huzuni inayofunua makovu ya mizozo ya kijamii hasa mizozo hiyo inavyoathiri vijana wadogo.

    ISBN: 9789914729931

    Add to cart
  • Mwisho wa Kosa

    Original price was: KSh777.00.Current price is: KSh700.00.
  • Mwongozo wa Bembea ya Maisha (Climax)

    Original price was: KSh555.00.Current price is: KSh525.00.

    Mwongozo huu wa tamthilia ya Bembea unajumulisha vijitabu vitatu.

    1.Mwongozo wenyewe wa Tamthilia ya Bembea.

    2. Ushauri kwa mwanafunzi kuhusu jinsi ya kujibu ya kiswahili ya KCSE.

    3. Mifano ya Maswali na majibu mwafaka

    ISBN: 9782199766806

    Add to cart
  • MWONGOZO WA CHOZI LA HERI

    Original price was: KSh533.00.Current price is: KSh480.00.
  • Mwongozo wa Kigogo

    Original price was: KSh544.00.Current price is: KSh490.00.
  • Mwongozo wa Mapambazuko ya Machweo(Climax)

    Original price was: KSh555.00.Current price is: KSh525.00.

    Vitabu Hivi Vimeandikwa na Waalimu Waliobobea katika kufunza na kutahini mtihani wa kitaifa wa Fasihi KCSE.

    Mwongozo wa Mapambazuko ya Machweo na hadithi nyingine Una kusudia Kuwasaidia wanafunzi kuvelewa mkusanyiko huu wa hadithi fupi ili kuwatayarisha katika mtihani wa kitaifa K.C.S.E.

    ISBN: 9782326756892

    Add to cart
  • Mwongozo wa Nguu za Jadi (Climax) by Clara Momanyi

    Original price was: KSh583.33.Current price is: KSh525.00.

    Mwongozo huu wa RIWAYA YA NGUU ZA JADI UNAJUMULISHA VIJITABU VITATU VIKIWEMO:

    1. Mwongozo wenyewe wa Nguu Za Jadi.

    2. Ushauri kwa mwanafunzi kuhusu Jinsi ya kujibu Maswali ya Kiswahili ya KCSE.

    3. Mifano ya Maswali na Majibu Mwafaka.

    Vitabu Hivi Vimeandikwa na Waalimu Waliobobea katika kufunza na kutahi-ni mtihani wa kitaifa wa Fasihi KCSE.

    ISBN: 9782123456865

    Add to cart
  • Mwongozo ya Mapambazuko ya Machweo (Globalink) by Globalink

    Original price was: KSh544.00.Current price is: KSh490.00.
  • Nguu za jadi by CLARA MOMANYI

    Original price was: KSh766.00.Current price is: KSh690.00.
  • Parliament of Owls – Set Book by Adipo Sidang’

    Original price was: KSh567.00.Current price is: KSh510.00.

    Description of Parliament of Owls Parliament of Owls  by Adipo Sidang’ is a Kenyan award-winning poet and playwright. His Young Adult novella, A Boy Named Koko, won the 2017 Burt Award for African Young Adult Literature (Kenya). It was also shortlisted for the Burt Award for African Young Adult Literature (Africa) the same year, and …

    Parliament of Owls – Set Book by Adipo Sidang’Read More

    Add to cart
  • Shades of Life by Pasomi Mucha

    Original price was: KSh733.00.Current price is: KSh660.00.

    Shellsea Kego has had everything going for her. She has known nothing less than a Royal upbringing. Fancy schools, expensive holidays and all that vast wealth can buy have been the summary of the life of this young girl. Snobbish and with a keen sense of class, she mingles with the high and mighty, in whose league her rich mother luxuriates. Her fairy-tale kind of life comes tumbling down like a pack of cards when her mother drives her to what strikes her as a godforsaken ghost of a school in the middle of nowhere. “You can’t leave me in this terrible place! I cannot survive this! I will be miserable and end up failing!” Shellsea protests. “It’s for your own good.” her mother insists, as if to rub salt into her wound.

    ISBN: 9780195736106

    Add to cart
  • Shani katika njia panda by Story Moja

    Original price was: KSh500.00.Current price is: KSh450.00.

    Shani anakumbwa na furaha ya kupindukia rafiki yake, Jaki, anapomchagua kuandamana naye hadi Afrika Kusini.
    Mjomba wa Jaki anajitolea kugharamia ziara hiyo. Hata hivyo, mamake Shani anashuku nia ya Mjomba kumpeleka mwanawe
    Afrika Kusini. Mama anajaribu kumshawishi Shani kupuuza pendekezo hilo kwa kumwekea vikwazo. Shani aliye na hamu kuu
    kwenda ughaibuni anakwea vikwazo vyote hadi mzazi wake anamkubalia kwenda Afrika Kusini. Mbona Mama Shani anashuku
    ukarimu wa Mjomba? Soma hadithi ufumbue fumbo.

    ISBN: 9789966066800

    Add to cart
Make Your Order

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us