Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Category: Storybooks

Storybooks

Showing 361–384 of 1059 results

  • Kiki and Kim by Queenex

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.

    “This is a very simplified step to introduce money lessons to young children.It is designed to help children appreciate the value of money and embrace a saving culture.”

    Add to cart
  • Kiki and the Piggy Bank by Queenex

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.

    It is good to teach children about finances. They grow up with a responsible attitude about money. Later, they use their money wisely.

    This book is designed to help children appreciate the value of money and embrace a saving culture. This is an interesting story about a small girt, Kiki. She saves money in her piggy bank. Later she opens a bank account.

    Add to cart
  • Kiki goes Shopping by Nandwa

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.
  • King of all Fish 4g by E Kabaji

    Original price was: KSh300.00.Current price is: KSh270.00.

    King of all Fish

    ISBN: 2010141001222

    Add to cart
  • King of all Fish 4g by E Kabaji

    Original price was: KSh300.00.Current price is: KSh270.00.

    King of all Fish

    ISBN: 2010141001222

    Add to cart
  • King Saul and David

    Original price was: KSh333.00.Current price is: KSh300.00.

    King Saul and David Author: Sarah Ambiyo ISBN: 978 9966 347 65 7 David becomes not only successful in war but the people of Israel come to love him more than they love King Saul. The king becomes jealous of David and plans to kill him.

    Add to cart
  • King’s Ring Moran grade Level 5 by Emerson

    Original price was: KSh455.00.Current price is: KSh410.00.
  • kiparangoto

    Original price was: KSh327.00.Current price is: KSh295.00.
  • Kipengo 2b by Oxford

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.
  • Kipepeo apeperuka by Said

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.

    Dunia haishi maajabu. Kuna mengi ya kuajabia. Katika ulimwengu wa wadudu, kuna baadhi yao wanaopitia hatua kadhaa za maisha yao kuanzia yal. Mageuzi hayo katika maumbile yao na maisha yao yana maana na umuhimu kwetu pia. Hebu tujifunze sote maumbile ya kipepeo. Hassan Said ana tajriba pana katika uchapishaji vitabu hasa kamusi na hadithi za watoto. Sasa amejitoma katika ulingo wa hadithi, kama mwandishi chipukizi, akipanua mawanda ya uhariri na uandishi.

    ISBN: 9789966115157

    Add to cart
  • kipepeo mrembo klb

    Original price was: KSh144.00.Current price is: KSh130.00.
  • Kisa cha Mebo by Atulo

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.
  • Kisa cha Peremende 2a by Maillu

    Original price was: KSh225.00.Current price is: KSh203.00.

    Muli na Ndungi ni marafiki wakubwa. Walimsaidia mvulana kwa jina Mumo kwenda nyumbani alipoteguka mguu wakicheza. Muli na Ndungi walipewa kila mmoja pakiti ya peremende na babake Mumo. Peremende za Muli zinaendelea kuongezeka. Peremende za Ndungi nazo zinaendelea kupunguka na mwishowe kumalizika. Je, ni kwa nini peremende za Muli zinaongezeka na za Ndungi kupungua?

    ISBN: 9789966341846

    Add to cart
  • Kisasi Hapana! 8a by Ken Walibora

    Original price was: KSh400.00.Current price is: KSh360.00.

    Kisasi Hapana! 8a ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za .msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: masimulizi rahisi kwa njia ya barua ya kirafiki, utambaji hadithi, hadithi ndani ya hadithi na usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja. kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashbihi, takriri, kejeli, chuku, tanakali za sauti, maswali ya balagha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua. kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani na vijijini, michezo, afya, umuhimu wa elimu, kuwaheshimu watu wazima na wazazi, uwajibikaji, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, jinsia, haki za binadamu na haki za watoto.

    ISBN: 9780195734331

    Add to cart
  • kitendawili cha nungunungu-one planet

    Original price was: KSh261.00.Current price is: KSh235.00.

    Adamu na Mwangavu wanatoka shuleni. Adamu anajikwaa kwenye kitu anachodhani ni jiwe. Anasimulia wazazi wake kisa hicho. Baba yake, Mganga Fadhili, anamwambia si jiwe bali ni nungunungu ambaye hapo awali alikuwa kijana mtundu. Je, binadamu anaweza…

    By One Planet
    Add to cart
  • Kiti cha Moyoni na hadithi Nyingine by Oxford

    Original price was: KSh761.00.Current price is: KSh685.00.

    Kiti cha Moyoni na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi ishirini ambazo zinathibitisha kwamba uwanja huu wa fasihi ya Kiswahili umefikia ukomavu wa hali ya juu katika vipengele vyake vyote: kimaudhui (ambayo ni anuwai: mapenzi, unyumba, siasa, uchumi, ucheshi, uana, utamaduni, mazingira, ufisadi, utandawazi na taathira zake kimataifa, n.k.); kimtindo na ujumi (ambao umezikoleza utamu na ladha hadithi zenyewe, hasa katika mtindo mpya wa fantasia na mkengeuko wa ukweli kama tunavyoujua kila siku). Bila shaka, mna ukwasi wa lugha, unaokwepa Kiswahili cha darasani; hasa kwa wingi wa ufundi wake uliojaa misamiati, jazanda, sitiari na tamathali zote za semi kwa ujumla.

    ISBN: 9780195733785

    Add to cart
  • Kito apepeta by Rebecca Nandwa

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.

    Kito, msichana mdogo wa shule ya msingi, ana kipawa cha kuimba. Kila apatapo nafasi anakuza kipawa hicho. Mwalimu anapomtafuta mwanafunzi ambaye atamtumbuiza mgeni mkuu, wanafunzi wanamchagua Kito.Je, ataweza jukumu hilo? Kito Apepeta kimeandikwa kwa ustadi mkubwa. Kitabu hiki kinawalenga watoto wanaoanza kukamaa kwa lugha no fasihi. Kinaburudisha na kuwahimiza watoto kukuza vipaji vyao.

    ISBN: 9789966788174

    Add to cart
  • kitoweo cha mama

    Original price was: KSh533.00.Current price is: KSh480.00.

    Kitoweo cha mama na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi kadhaa za kusisimua na za kipekee. Hadithi hizi zinaangazia hali halisi za maisha ya wanadamu kupitia wahusika wanayama. Zimejikita kwenye maudhui kama vile kusema ukweli, utiifu,kuwajali wengine, usaliti, subira na uvumilivu. Kutokana na hadithi hizi, wasomaji walengwa watachochewa kuwa na fikra za kipekuzi na za kibunifu ili waweze kudadisi mambo na kutafuta suluhu za changamoto mbalimbali zinazoweza kuwakumba maishani.

    Author:
    Seth Mboya

    Add to cart
  • KIU LONGHORN

    Original price was: KSh700.00.Current price is: KSh630.00.
  • Kiundu akosa Karamu 10 by Dorothy Bracey, Peter Lieta

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.

    Hadithi Sisimka ni msururu wa hadithi za watoto zilizoandikwa kwa lugha nyepesi na msamiati uliodhibitiwa ili kuwafaa watoto.Hadithi hizi zinawavutia wasomaji wachanga na ni msingi thabiti kwao katika kujenga uraibu wa kusoma.

    ISBN: 9789966363800

    Add to cart
  • KLB Fun World 4 : I Will be Back by Maryan Noor Yusuf

    Original price was: KSh222.00.Current price is: KSh200.00.

    After looking for Emilio without any success, Josh decided to join the dance party. Then Josh saw a very beautiful girl.
    She was all alone. He loved her smile and the way she wiggled her waist.
    The girl’s name was Sarah. Josh and Sarah danced and talked a lot at the party. They loved one another. Josh prayed that she would one day be his wife. The men hired to fetch Emilio looked for him everywhere, but could not find him at the party.
    I Will Be Back is about the disadvantages of being vengeful. It teaches that you should always confirm whatever you are told by someone else. The story is suitable for class 1 to 6.

    ISBN: 9789966105912

    Add to cart
  • KLB Fun World 5: Naomi and Cindy

    Original price was: KSh210.00.Current price is: KSh187.00.
  • Koba the Cockroach 1e by Oxford

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. There are ten readers for each class with each specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course. Here is a reading scheme that offers the modern pupil an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the pupil has fun that’s built to last.

    ISBN: 9780195730364

    Add to cart
  • Kobi’s Winning Smile by Rebecca Nandwa

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.

    Kobi loves to eat sweets. He loves sweets of all shapes and colours. One day, he gets a toothache. It is very painful and it makes him cry loudly. His mother takes him to the dentist.

    The dentist advises Kobi to eat less sweets’and to brush twice a day. Kobi throws away his sweets and starts eating fruits instead.

    Read the story to find out what hap,pens at school.

     

    ISBN: 9789966075222

    Add to cart

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us