Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Category: Storybooks

Storybooks

Showing 985–1008 of 1059 results

  • Tumpare and the Cattle Thieves by Nyambura Mpesha

    Original price was: KSh238.00.Current price is: KSh215.00.

    Tumpare has a tree house that looks like an aeroplane. She dreams of being a pilot one day. One night, Tumpare, and her friend, Ciku, see thieves stealing from their parents house. The two girls decide to report the theft to the police. Unfortunately, the two girls are kidnapped by the thieves and locked in a certain house. However, nearly the whole village and the police come in time for their rescue.Tumpare and the Cattle Thieves is one of the stories in a series of six supplementary class readers to be used with Keynote English, our rewarding primary English course designed for the new syllabus. The class readers will be useful with any course book, and can be read for pleasure outside the classroom setting.

    ISBN: 9789966491244

    Add to cart
  • Turning Point 5h by Kabui

    Original price was: KSh327.00.Current price is: KSh295.00.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. There are ten readers for each class specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course.

     

    Here is a reading scheme that offers the modern pupil an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the pupil has fun that’s built to last.

    ISBN: 9780195733822

    Add to cart
  • Tuzo la Uaminifu by Story Moja by Muchemi

    Original price was: KSh500.00.Current price is: KSh450.00.

    Ili kuteuwa kiongozi mpya, simba mzee anawapa kiboko, kifaru na ndovu mtihani tata. Kila mmoja anataka kuwa mshindi na kuteuliwa kiongozi wa jangwani. Nani atashinda ISBN: 9789966620613

    Add to cart
  • Tuzo ya Ujasiri

    Original price was: KSh466.00.Current price is: KSh420.00.

    Wanafunzi wa darasa la nne wanatembelea mbuga ya wanyama ya Nairobi. Wanaelezwa mengi kuhusu wanyamapori na wawindaji haramu. Hata hivyo, wnavutiwa na kuburudishwa zaidi na vituko vya tumbiri mcheshi. Wanaondoka wakimjadili tumbiri huyo mwenye tabia zinazofanana na binadamu

    Author:
    Pauline Kea
    ISBN: 9789966620095
    Add to cart
  • Twelve Months by Ellen Banda-Aaku

    Original price was: KSh483.00.Current price is: KSh435.00.

    Don DiMarco has a very good life – a family he loves, a comfortable lifestyle, passions and interests that keep him amused. He also thought he had time, but that turned out not to be the case. Faced with news that might have immediately felled most, Don now wonders if he has time enough. Time enough to show his wife the romance he didn’t always lavish on her. Time enough to live out his most ambitious fantasies. Time enough to close the circle on some of his most aching unresolved relationships. Summoning an inner strength he barely realized he possessed, Don sets off to prove that twelve months is time enough to live a life in full.A glorious celebration of each and every moment that we’re given here on Earth, as well as the eternal bonds that we all share, TWELVE MONTHS is a stirring testament to the power of the human spirit.

    ISBN: 9780195736090

    Add to cart
  • Twist of Fate by Odero

    Original price was: KSh355.00.Current price is: KSh320.00.

    Tina and her parents are having a time of their lives until they are involved in an accident that leaves her father seriously injured. What will happen to young Tina’s dreams and aspirations? Read this fascinating story to find out how Tina and her mother cope with the unfortunate situation, and how Tina retains her …

    Twist of Fate by OderoRead More

    Add to cart
  • Ua la Muli by Story Moja by Nyanchoka

    Original price was: KSh466.00.Current price is: KSh420.00.

    Kuna shamba lenye maua maridadi. Hata hivyo, ua moja tu la Muli ndilo halipendezi. Je, Muli atalifanyia nini? ISBN: 9789966621153

    Add to cart
  • Uamuzi wa wanyama

    Original price was: KSh466.00.Current price is: KSh420.00.

    Kwa miaka na mikaka, wanyama katika msitu wa Ngome wameishi kwa amani. Mfalme Simba anaandaa karamu ya kusherehekea urafiki baina ya wanyama. Hata hivyo, karamu inakatizwa wanyama wanaposhambuliwa kwa vijiti kutoka angani. Baadhi ya wanyama wanakufa. Wanyama wanaosalia wanalazimika kupambana na adui wasiyemfahamu. Vita vinabadili vipi uhusiano miongoni mwa wanyama?

    Author:
    Hillary Namunyu
    Add to cart
  • Uchochole si Kilema by Nyambu

    Original price was: KSh244.00.Current price is: KSh220.00.

    Kulanga alizaliwa katika maingira magumu yasiyosikika wala kutajika.
    Hali hii haikulua ndoto yake ya kufanikiwa Tabia njema na bidii yake
    zilimfanya aheshimike na walimu pamoja na wenzake shuleni
    Wavyele wake walipoipa dunia kisogo, ilionekana kana kwamba hataweza kufikia ile ndoto ya ajabu aliyokuwa nayo.
    Mfadhili wake anauawa kwa sumu na kisha mke wa mfadhili kukatisha ufadhille kijana huyu atafanyaje i kufanikiwa
    maishani na kuifikia ndoto yake?

    ISBN: 9789966075260

    Add to cart
  • Ufalme wa mende

    Original price was: KSh322.00.Current price is: KSh290.00.

    Ufalme wa Mende ni hadithi ya kusisimua inayolenga kutoa tahadhari dhidi ya kutozingatia usafi.Mzee tabu na mwanawe anayeitwa Mchafu, wanaathirika sana na mende hali inayoletwa  na kutopenda usafi.

    Nyumba ya mzee Tabu imekuwa miliki ya mende.Imetawaliwa na mende. Ufalme wa Mende. Mende hawa wanaleta maangamizi makubwa ya kuatua moyo.kUNATOKEA NINI?

    ISBN: 9789966140210

     

    Add to cart
  • Ujasiri wa Tito by Pamela Ngugi

    Original price was: KSh350.00.Current price is: KSh315.00.

    Tito alijua kwamba hii ndio nafasi ya pekee aliyokuwa nayo ya kujinasua Alijua kuwa ujasiri wake tu ndio ungemwokoa Tito alikabiliwa na hatari kubwa. Hatari hii ilitishia kumpoteza kwao milele. Hatari hii ingemtenganisha na wazaziwe na nduguye, Jesi, daima.Tito aliogopa haya. Aliogopa sana. Ndiyo maana aliamua kujijasiri. Alijua kuwa ujasiri huu huenda ungemletea adhabu kali, lakini hakuwa na budi ila kujitwika ujasiri huu. Ilimbidi afanye lolote, ajikakamue, mradi tu ajiokoe! Ujasiri wa Tito ni mojawapo ya hadithi katika mradi wa kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

    ISBN: 9780195739824

    Add to cart
  • Unlikely Burden and Other Stories longhorn

    Original price was: KSh777.00.Current price is: KSh700.00.

    ISBN: 9789966951397  

    Add to cart
  • Upepo wa mvua

    Original price was: KSh467.00.Current price is: KSh420.00.
  • Urafiki wa Siafu na Ndege

    Original price was: KSh444.00.Current price is: KSh400.00.

    Siafu anaenda mtoni kunywa maji. Akiwa kando ya mto anateleza na kuingia majini. Je, Ndege aliyekaribu anamwokoa? Akimwokoa, atamsaidia Ndege vipi?

    Author:Dennis Rugiri
    ISBN: 9789966622044
    Add to cart
  • Ushindi wa Kironje na hadithi nyingine

    Original price was: KSh322.00.Current price is: KSh290.00.

    Huu ni mkusanyiko wa hadithi kumi na mbili, zenye mafunzo sufufu katika jamii ya leo. Ni hadithi ambazo zitakufanya uache kula pilau kwa samaki ili uzisome kwanza! utakapokuwa ukizisoma, zitakufanya usahau ulikuwa na mlo mezani kutokana na ucheshi uliomo. Hadithi hizi zinanuia kuwafundisha wanafunzi maadili ili wajenge mustakabali.

    ISBN: 9789966140029

    Add to cart
  • Usicheze na moto! 4b by Pamela M.Y.Ngugi

    Original price was: KSh288.00.Current price is: KSh260.00.

    Usicheze na moto! 4b ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo jjjp kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Nne katika shule za msingi.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki fii:

    • Masimulizi rahisi ya hadithi.
    • Kuondosha hali ya uchovu wa kusoma kwa kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia mjadala, nyimbo, taharuki na sentensi fupifupi.
    • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya michezo ya kitoto, ushirikiano na ujirani mwema, kichekesho, sifa na hulka za watu tofauti na maarifa juu ya kukabiliana na hatari ya moto.

    Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu. Vitabu vingine katika kiwango hiki ni:

    ISBN: 2010143000235

    Add to cart
  • Usicheze na moto! 4b by Pamela M.Y.Ngugi

    Original price was: KSh288.00.Current price is: KSh260.00.

    Usicheze na moto! 4b ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo jjjp kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Nne katika shule za msingi.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki fii:

    • Masimulizi rahisi ya hadithi.
    • Kuondosha hali ya uchovu wa kusoma kwa kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia mjadala, nyimbo, taharuki na sentensi fupifupi.
    • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya michezo ya kitoto, ushirikiano na ujirani mwema, kichekesho, sifa na hulka za watu tofauti na maarifa juu ya kukabiliana na hatari ya moto.

    ISBN:9780195730715

    Add to cart
  • Usicheze na moto! 4b by Pamela M.Y.Ngugi

    Original price was: KSh288.00.Current price is: KSh260.00.

    Usicheze na moto! 4b ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo jjjp kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Nne katika shule za msingi.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki fii: Masimulizi rahisi ya hadithi. Kuondosha hali ya uchovu wa kusoma kwa kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia mjadala, nyimbo, taharuki na sentensi …

    Usicheze na moto! 4b by Pamela M.Y.NgugiRead More

    Add to cart
  • Vidudumtu na Fundi wa Viatu Hadithi zA LADYBIRD

    Original price was: KSh333.00.Current price is: KSh300.00.

    Hadithi za ‘Ladybird’ zimesimuliwa kwa kuzingatia mikusanyiko ya hadithi za ‘Well-Loved Tales’ ambazo zinapendwa na wasomaji wengi sana.

    Hadithi hizi za kipekee zimepambwa michoro maridadi ambapo inaleta ubora na uhondo wa masimulizi pa Ladybird kwa wasomaji wa kizazi kipya. Watoto kutoka kizazi hadi kizazi wamependa sana hadithi hizi. na watapata burudani zaidi kwa kuzisoma pamoja.

    ISBN: 9780241331927

    Add to cart
  • Village Fool and other Stories by Chetambe klb

    Original price was: KSh500.00.Current price is: KSh450.00.

    The stories in this collection capture the laughter and tears of a twenty-first-century society as it sways forwards and backward in the search for happiness. In both the village and the city, emerging values confront the older system in an increasingly globalized and digitized social-economic context. The lives of the ordinary village and city folk …

    Village Fool and other Stories by Chetambe klbRead More

    Add to cart
  • Vioja vya Musa 8b by Hezron Mogambi

    Original price was: KSh422.00.Current price is: KSh380.00.

    Fumbo Musa ni kijana anayetoka katika familia maskini. Hata hivyo. mwajiri wa baba yake anaamua kumlipia karo ili asomee shule ya bweni ya Kaachonjo. Shuleni anakumbwa na hali ngumu kwa kuwa wanafunzi wengi wanotoka katika familia za walalaheri. Kutokana na bidii masomoni na uadilifu, Musa anateuliwa kuwa kiranja mkuu. Hata hivyo, cheo hiki hakimpi furaha kwani anateuliwa na kuchekwa kwa sababu ya umaskini wa familia yao. Musa anashawishika kushiriki maovu ili kujipatia hela za kujistarehesha shuleni. Jambo hili linamzushia balaa, vioja na mikasa …

    ISBN: 9789966342492

    Add to cart
  • Vipawa Vya Hasina 8e by Said A Mohamed

    Original price was: KSh400.00.Current price is: KSh360.00.

    Vipawa vya Hasina 8e ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.<br />Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

    • masimulizi rahisi kwa njia ya hadithi, usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja, mbinu rejeshi na uzungumzi nafsia.
    • kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashibihi, tashihisi, takriri, kejeli, chuku, taswira, tanakali za sauti na picha za rangi zenye kusisimua.
    • kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisna ya nyumbani, shuleni, kijijini na jijini, malezi, mila ya ndoa za wasichana wadogo, afya, ujana na matatizo yake, umuhimu wa teknolojia, habari na mawasiliano, michezo, uwajibikaji, stadi za maisha, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, jinsia, haki za binadamu, haki za watoto, kuishi kwa utangamano na amani.

    Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

    ISBN: 9780195734560

    Add to cart
  • Visa na Mikasa 2B Hadithi ya Nyanya by Zani

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.
  • Visa na Vituko Dhiki yangu 6b

    Original price was: KSh277.77.Current price is: KSh250.00.

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us