Category: Storybooks
Storybooks
Showing 1057–1058 of 1058 results
-
Zimwi La Leo Longhorn
Original price was: KSh294.00.KSh265.00Current price is: KSh265.00.Add to cart“Mimi sitaki matunda. Ninataka pesa!” Lilifoka Zimwi. “Jamani ndio mti gani huo unaozaa pesa?” Mzee mmoja alitaka kujua. “Mpaka na mpesa unaozaa pesa!” Alimaka mwingine. Hadithi hii inahusu zimwi ambalo sote twalijua. Lakini sio zimwi la kawaida.
-
Ziro, rafiki mnafiki by Queenex
Original price was: KSh388.00.KSh350.00Current price is: KSh350.00.Add to cartAnabel Suluhu, msichana wa miaka 12, anasimulia jinsi anavyoponea tendo la unajisi kwa tundu la sindano. Fredrick Ziro, ambaye ni mkulima hodari wa kijijini, tena rafiki wa karibu wa familia ya akina Anabel, anajifanya mtu mwema sana na mtetezi wa haki za wasichana kijijini. Anaonyesha ukarimu mkubwa kwa Anabel na mama yake, kumbe chini kwa …