Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Category: Storybooks

Storybooks

Showing 1057–1059 of 1059 results

  • Zimwi Hilo By Moran

    Original price was: KSh383.00.Current price is: KSh345.00.

    Mzee Nuru aliwasimulia wanafunzi hadithi ya kusisimua. Hadithi hiyo ilihusu zimwi lililokuwa likiwashambulia wanakijiji wa Pumbao na kuwaua wengi. Zimwi hilo halikuonekana wala kujulikana. Lilisemekana liliishi katika msitu mkubwa uliokuwa karibu na kijiji. Vijana waliamua kulisaka zimwi hilo lakini wakaambulia patupu. Kitendawili cha zimwi kilizua taharuki kijijini. Mkutano uliandaliwa huku kukiwa na shuku na shauku …

    Zimwi Hilo By MoranRead More

    Add to cart
  • Zimwi La Leo Longhorn

    Original price was: KSh294.00.Current price is: KSh265.00.

    “Mimi sitaki matunda. Ninataka pesa!” Lilifoka Zimwi. “Jamani ndio mti gani huo unaozaa pesa?” Mzee mmoja alitaka kujua. “Mpaka na mpesa unaozaa pesa!” Alimaka mwingine.  Hadithi hii inahusu zimwi ambalo sote twalijua. Lakini sio zimwi la kawaida.

    Add to cart
  • Ziro, rafiki mnafiki by Queenex

    Original price was: KSh388.00.Current price is: KSh350.00.

    Anabel Suluhu, msichana wa miaka 12, anasimulia jinsi anavyoponea tendo la unajisi kwa tundu la sindano. Fredrick Ziro, ambaye ni mkulima hodari wa kijijini, tena rafiki wa karibu wa familia ya akina Anabel, anajifanya mtu mwema sana na mtetezi wa haki za wasichana kijijini. Anaonyesha ukarimu mkubwa kwa Anabel na mama yake, kumbe chini kwa …

    Ziro, rafiki mnafiki by QueenexRead More

    Add to cart

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us