Dunia tambara bovu
KSh555.55 Original price was: KSh555.55.KSh500.00Current price is: KSh500.00.
Related products
-
Shani katika njia panda by Story Moja
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartShani anakumbwa na furaha ya kupindukia rafiki yake, Jaki, anapomchagua kuandamana naye hadi Afrika Kusini.
Mjomba wa Jaki anajitolea kugharamia ziara hiyo. Hata hivyo, mamake Shani anashuku nia ya Mjomba kumpeleka mwanawe
Afrika Kusini. Mama anajaribu kumshawishi Shani kupuuza pendekezo hilo kwa kumwekea vikwazo. Shani aliye na hamu kuu
kwenda ughaibuni anakwea vikwazo vyote hadi mzazi wake anamkubalia kwenda Afrika Kusini. Mbona Mama Shani anashuku
ukarimu wa Mjomba? Soma hadithi ufumbue fumbo.ISBN: 9789966066800
-
Storymoja Giza la Muda by Storymoja
KSh644.44Original price was: KSh644.44.KSh580.00Current price is: KSh580.00.Add to cartNana anahudhuria sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa rafiki yake wa chanda na pete, Judi. Huko, anakutana na mwigizaji maarufu ambaye ameigiza kama mhusika mkuu katika kipindi cha runinga kinachowalenga vijana. Papo hapo, Nana anapiga urafiki na mvulana huyo maarufu; urafiki ambao unaishia kuwa majuto.
Giza la Muda ni hadithi inayoangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana katika jamii na jinsi ya kukabiliana nazo. Changamoto hizo ni kama vile ushawishi wa marika na mimba za mapema.
ISBN: 9789966623638
-
The Samaritan-Setbook by John Lara
KSh522.00Original price was: KSh522.00.KSh470.00Current price is: KSh470.00.Add to cartThe Samaritan tells the story of two students in maracas municipality who develop a mobile App called The Samaritan-an online platform for whistleblowing as well as sharing ideas and information enhancing public welfare.Soon,the App is flooded with damning information about the unparalleled corruption,malfeasance,and political capture perpetrated by Maracas municipal leader.
ISBN: 9789966657534
-
Silent song and other stories (spotlight) by Edited by Godwin Siundu
KSh722.00Original price was: KSh722.00.KSh650.00Current price is: KSh650.00.Add to cartA Silent Song and other Stories is a unique collection of short stories from various societies across the world. They have been carefully selected to represent various generations of writers from diverse backgrounds.
The stories are meticulously sought and packaged to provoke interest in young Kenyan readers and help them encounter in-depth literary experiences. A wide range of techniques, settings and themes that are relevant to the contemporary issues affecting Kenyans have been addressed in the collection. These will expose the students to a rich diversity of perspectives that will result in appreciating the uniqueness of cultures across the globe.
ISBN: 9789966572813
-
Mwongozo wa Mapambazuko ya Machweo(Climax)
KSh555.00Original price was: KSh555.00.KSh525.00Current price is: KSh525.00.Add to cartVitabu Hivi Vimeandikwa na Waalimu Waliobobea katika kufunza na kutahini mtihani wa kitaifa wa Fasihi KCSE.
Mwongozo wa Mapambazuko ya Machweo na hadithi nyingine Una kusudia Kuwasaidia wanafunzi kuvelewa mkusanyiko huu wa hadithi fupi ili kuwatayarisha katika mtihani wa kitaifa K.C.S.E.
ISBN: 9782326756892
Reviews
There are no reviews yet.