Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Embe tamu 5a

Original price was: KSh327.77.Current price is: KSh295.00.

Embe Tamu 5a ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msjngi wa kdsomo pa kutaiza uwezo wa kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Tanokafikashiiiezamsingi. ‘ Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

  • Masimulizi rahisi ya hadithi.
  • Kuondosha hali ya uchofu wa kusoma na kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia utambaji wa hadithi. vichekesho, tashihisi. mbinu rejeshi. taharuki, picha zenye rangi za kupendeza na sentensi fupifupi.
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya fasihi simulizi. maumbile na sayansi ya mhusika mkuu embe/mwembe, asili ya vitu. pamoja na maadili mema kama vile subira, uvumilivu na wajibu.

Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

ISBN: 195730771

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Embe tamu 5a”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!
Make Your Order

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us