Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Habari za Mawio 8C

Original price was: KSh400.00.Current price is: KSh360.00.

Habari za Mawio 8c ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na Kukuza uwezo wao wa kusoma.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

  • masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya utambaji hadithi na hadithi ndani ya hadithi.
  • kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, mbinu rejeshi, vichekesho, utani, sajili (lafudhi) ya lugha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua.
  • kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya kuwaheshimu watu wote, udugu, utamaduni, kujali wengine, haki na uadilifu, kazi na uwajibikaji, utu, afya (ukimwi, madawa ya kulevya), habari na mawasiliano.

Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

ISBN: 9780195733808

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Habari za Mawio 8C”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!
Make Your Order

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us