Cart

    Your Cart is Empty

    Back To Shop

      Cart

      Your Cart is Empty

      Back To Shop
      Sale!

      Hidaya (EAEP) by Juma Namlola Mohamed

      Original price was: KSh555.00.Current price is: KSh500.00.

      “Binti yangu amepata malezi mema zaidi. Ni mmoja kati ya watoto waliofundishwa nidhamu. Umri wake pia ni mdogo na anajiona kwamba hajatimia. Vilevile, sisi tuna maarifa yetu, ukitaka kumshika kuku unammwagia punje mojamoja. Naamini
      ukiwa na subira kidogo, utafaidi tamu …”  Je, subira ya Bwanapesa itamfaidi?

      Juma Namlola ni mhariri wa habari katika shirika la Nation Media Group akiwa na ujuzi wa miaka 23 kama mwanahabari.
      Amewahi kuwa mhariri wa habari, Radio Salaam na mwendesha kipindi cha Msasa wa Lugha katika runinga ya QTV. Mbali na
      Hidaya, riwaya zake nyingine ni Kinamasi Jangwani na Kula Kwa Mheshimiwa. Pia, ni mshairi wa miaka mingi, mwandishi na
      mwelekezaji wa michezo ya kuigiza.

      ISBN: 9789966567253

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Hidaya (EAEP) by Juma Namlola Mohamed”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order

        Cart

        Your Cart is Empty

        Back To Shop
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS