Kamusi kuu ya Kiswahili by Longhorn
KSh1,933.00 Original price was: KSh1,933.00.KSh1,740.00Current price is: KSh1,740.00.
kamusi kuu ya kiswahili
ISBN: 9789987020980
Related products
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI) 4th Edition by Oxford
KSh1,316.00Original price was: KSh1,316.00.KSh1,185.00Current price is: KSh1,185.00.Add to cartKamusi ya Kiswahili Sanifu ina historia ndefu. Toleo la kwanza lilichapishwa mwaka 1981. Toleo hili la Nne limeboreshwa na kupangwa upya ili kumwezesha mtumiaji kupata taarifa anayoitafuta kwa urahisi. Toleo hili lina:
• zaidi ya vidahizo vipya 1 000
• kurasa 48 za rangi zenye mada mbalimbali
• zaidi ya methali 500 zilizotolewa maana
• nahau na misemo iliyotolewa maana.ISBN: 9780195746167
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI) 4th Edition by Oxford
KSh1,316.00Original price was: KSh1,316.00.KSh1,185.00Current price is: KSh1,185.00.Add to cartKamusi ya Kiswahili Sanifu ina historia ndefu. Toleo la kwanza lilichapishwa mwaka 1981. Toleo hili la Nne limeboreshwa na kupangwa upya ili kumwezesha mtumiaji kupata taarifa anayoitafuta kwa urahisi. Toleo hili lina:
• zaidi ya vidahizo vipya 1 000
• kurasa 48 za rangi zenye mada mbalimbali
• zaidi ya methali 500 zilizotolewa maana
• nahau na misemo iliyotolewa maana.ISBN: 9780195746167
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Shule za Msingi by Kiango
KSh1,244.00Original price was: KSh1,244.00.KSh1,120.00Current price is: KSh1,120.00.Add to cartKamusi ya Shule za Msingi
imetungwa kwa ustadi na wataana wataalamu wa Kiswahili imefanyiwa utafiti wa hali ya juu ina maneno yaliyoteuliwa na kukadiriwa inarahisisha utambuzi na matumizi ya ngeli za nomino ni kifaa bora kwa kila mwanafunzi wa shule a msingi
ISBN: 9780195733068
-
Rated 0 out of 5
Mentor CBC Atlas Grade 4-6. by Mentor
KSh1,222.00Original price was: KSh1,222.00.KSh1,100.00Current price is: KSh1,100.00.Add to cartMentor CBC ATLAS is in line with the Competency Based Curriculum. It is the most ideal ATLAS for learners and teachers in upper primary. This ATLAS effectively provides information on Counties in Kenya, Kenya and Eastern Africa as required by the Competency Based Curriculum. It also provides information on physical features, political boundaries, population distribution and economic activities.
This ATLAS is an essential tool for teachers and learners in Grade Four,Five and Six. The information in this ATLAS is presented in an easy-to-follow manner. Learners require minimum guidance to use this ATLAS.
ISBN: 9789966012227
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Karne ya 21 by Longhorn
KSh1,555.56Original price was: KSh1,555.56.KSh1,400.00Current price is: KSh1,400.00.Add to cartKamusi ya Karne ya 21(Toleo la 4)Â ni kamusi ya Kiswahili yenye uketo zaidi katika karne hii. Imetungwa kwa ustadi wa hali ya juu na wanaleksikografia wenye utaalamu na uzoefu wa uundaji wa kamusi. Ni kamusi inayojivunia upekee unaodhihirisha jinsi lugha ya Kiswahili inavyokwenda na wakati kwa kupanuka katika matumizi yake katika pembe zote za dunia. Toleo hili limeongezwa vidahizovipya zaidi ya 2500 ambavyo vinaashiria maendeleo mapya katika lugha ya Kiswahili. Kamusi hii inaonyesha ukuaji wa Kiswahili na matumizi yake katika nyanja zote za Siasa, Sayansi, Teknolojia ya kidijitali, mitandao ya kijamii, ubadilishanaji wa fedha na bidhaa kupitia kwa mifumo ya kimtandao miongoni mwa mengine.
ISBN: 9789987020973
Reviews
There are no reviews yet.