Kamusi ya Misemo na Nahau Kamusi ya Misemo na Nahau
KSh1,155.00 Original price was: KSh1,155.00.KSh1,040.00Current price is: KSh1,040.00.
Related products
-
Kamusi ya Semi-Toleo Jipya by Ndalu, Kingei
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.Add to cartToleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.
ISBN: 9966465405
-
Kamusi kuu ya Kiswahili by Longhorn
KSh1,933.00Original price was: KSh1,933.00.KSh1,740.00Current price is: KSh1,740.00. -
Oxford Advanced Learners Dictionary 10th Edition by Diana Lea
KSh2,077.00Original price was: KSh2,077.00.KSh1,870.00Current price is: KSh1,870.00.Add to cartThe Oxford Advanced Learner’s Dictionary is the world’s bestselling advanced level dictionary for learners of English.
Now in its 10th edition, the Oxford Advanced Learner’s Dictionary, or OALD, is your complete guide to learning English vocabulary with definitions that learners can understand, example sentences showing language in use, and the new Oxford 3000 (TM) and Oxford 5000 (TM) word lists providing core vocabulary that every student needs to learn.
ISBN: 9780194798617
-
Lion Children’s Bible (Bible Society) by Bible Society
KSh1,111.00Original price was: KSh1,111.00.KSh1,000.00Current price is: KSh1,000.00.Add to cartA treasury of Bible stories to return to again and again. This attractive book leads children into all of the Bible’s central stories – from creation to the exciting story of the early Church. Each selected story is referenced to the Scripture chapter and verse.The Lion’s Children’s Bible is beautifully illustrated and written in clear, simple, language for children to read alone or with adults.
ISBN: 9789966481306
-
Peak Secondary School Atlas (EAEP) by EAEP
KSh1,133.00Original price was: KSh1,133.00.KSh1,020.00Current price is: KSh1,020.00.Add to cartThe Peak Secondary School Atlas is particularly designed for use in Kenyan secondary schools as well as by other users in the Eastern Africa region.
This new edition is a result of comprehensive research on curriculum requirements and an extensive study of new geographical and constitutional developments.
ISBN: 9789966259677
Reviews
There are no reviews yet.