Katana na Mzee Kipara by Kamori
Original price was: KSh225.00.KSh203.00Current price is: KSh203.00.
Baba yake Katana na Rehema ni mkulima. Yeye ana shamba la mahindi. Mahindi yanaibiwa shambani hakuna mtu anajua mwizi ni nani. Katana na Rehema wakienda shuleni siku moja, mbwa wao anawafuata. Wakiwa njiani, wanawaona watu wawili shambani mwao.
Rehema na Katana wanajificha na kuwachungulia watu hao…..
ISBN: 9789966341877
Reviews
There are no reviews yet.