Cart

    Your Cart is Empty

    Back To Shop

      Cart

      Your Cart is Empty

      Back To Shop
      Sale!

      Kitabu changu cha Kiswahili by Njoroge

      Original price was: KSh433.00.Current price is: KSh390.00.

      Kitabu hiki kimeandikwa nu mwandishi mwenye tajriba pana ya kufundishc katika Shule za Chekechea nchini Kenya. Muundo wa kitabu hiki utamsaidia mwanafunzi kupata msingi imam wa elimu ya kiwango cha Chekechea. Mwanafunzi anahakikishiwa stadi muhimu zinazohitajika katika kujenga msingi dhabiti masomoni. Kitabu hiki kitamsaidia mwanafunzi:

      • Kusoma vokali
      • Kusoma silabi za vokali
      • Kulinganisha picha na jina
      • Kuchora picha ya jina
      • Kutunga sentesi kutokana no picha Vitabu vingine katika msururu huu ni:
      • Kujaza nafasi kwa vokali
      • Kutunga maneno kwa vokali na silabi
      • Kuandika maneno vizuri
      • Kutunga sentesi kwa maneno
      • Kinyume, Tarakimu na Wingi

      ISBN: 9789966788924

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Kitabu changu cha Kiswahili by Njoroge”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order

        Cart

        Your Cart is Empty

        Back To Shop
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS