KLB Visionary English Literacy Grade 2
KSh388.88 Original price was: KSh388.88.KSh350.00Current price is: KSh350.00.
Related products
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 2 by KLB
KSh416.66Original price was: KSh416.66.KSh375.00Current price is: KSh375.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 2 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652140
-
KLB Early Grade English Language ActIvities Grade 2 by KLB
KSh455.00Original price was: KSh455.00.KSh405.00Current price is: KSh405.00.Add to cartThis Grade 2 English Language Activities Book uses research-based techniques to support pupils in developing English language skills. This book covers core competencies, pertinent and contemporary issues, and four literacy areas: listening, speaking, reading and writing, as well as all themes and values described in the revised curriculum. The book offers learners in Grade 2 a variety of learning experiences and assessments that support the expected learning outcomes in the key activity areas.
ISBN: 9789966656247
-
Mentor Mathematical Activities GD2 (Appr)
KSh700.00Original price was: KSh700.00.KSh630.00Current price is: KSh630.00.Add to cartMentor Mathematical Activities Grade 2 workbook is fully in line with the new Competency-Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966059727
-
New Progressive Primary English Activities Grade 2
KSh593.00Original price was: KSh593.00.KSh534.00Current price is: KSh534.00. -
KLB Visionary Hygiene & Nutrition GD2
KSh467.00Original price was: KSh467.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartHygiene and Nutrition Activities is a course intended to equip learners with basic knowledge, skills. and attitudes that promote a happy and healthy lifestyle. The learner is empowered to take care of his or her own wellbeing as well as that of others. The learner is sensitized to adopt healthy practices in order to prevent the occurrence of infections associated with poor hygiene and sanitation practices.
This Learner’s Workbook for Grade 2 comprehensively covers the 2017 competency-based curriculum. The learning activities are presented in a simple concise language and in an attractive layout designed to make the workbook learner friendly.
This workbook incorporates Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) as required in the curriculum designs. Some PCIs addressed include education in the following areas: life skills and values, health, and environment.ISBN: 9789966652201
Reviews
There are no reviews yet.