Sale!
Sale!
Kwa nini Chenene huimba Usiku
Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.
SIMULIZI ZA KUFURAHISHA ZINAZOFUNDISHA MAISHA.
Hii ni hadithi kwa watoto wenye umri wa miaka 7-8 (Gredi 3). Ni kitabu kinachofundisha umuhimu wa utii.
Mama Senene anaenda kuwatafutia watoto wake chakula. Je, watoto wake watamsubiri kurudi jioni kama anavyowaagiza? Soma hadithi hii ya kusisimua upate majibu.
Reviews
There are no reviews yet.