Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Likizo ya mkosi (KLB) by Matundura

Original price was: KSh315.00.Current price is: KSh281.00.

Likizo ya Mkosi ni hadithi inayopatikana katika mfululizo mpya wa hadithi za NASAHA ZETU zinazochapishwa na KLB.
Hadithi hii ni ya wanafunzi wa darasa la sita.
Likizo huwa na burudani na utulivu mwingi kwa wanafunzi.
Hii hutokana na hali kuwa hakuna haja ya kurauka, kuelekea darasani wala kazi ya ziada.
Vilevile huwa wana muda mwingi wa kucheza. Haya huenda ndiyo yaliyokuwa mawazo ya Kombo na Tambo lakini.
Je, mkosi ulitokeaje?
Miongoni mwa vitabu vingine katika mfululizo huu ni:
• Asiyesikia la Mkuu
• Usiku wa Manane
• Kusema Ukweli
• Sitaki Nife!
• Msitu wa Uma
• Matonetone
• Maisha ya Shujaa Heshima
• Musa na Sara
. Ndoto za Matumaini
• Kiswahili Gani
• Maskini Punda
• Masaibu Mbugani

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Likizo ya mkosi (KLB) by Matundura”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!
Make Your Order

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us