Cart

    Your Cart is Empty

    Back To Shop

      Cart

      Your Cart is Empty

      Back To Shop
      Sale!

      Likizo ya mkosi (KLB) by Matundura

      Original price was: KSh315.00.Current price is: KSh281.00.

      Likizo ya Mkosi ni hadithi inayopatikana katika mfululizo mpya wa hadithi za NASAHA ZETU zinazochapishwa na KLB.
      Hadithi hii ni ya wanafunzi wa darasa la sita.
      Likizo huwa na burudani na utulivu mwingi kwa wanafunzi.
      Hii hutokana na hali kuwa hakuna haja ya kurauka, kuelekea darasani wala kazi ya ziada.
      Vilevile huwa wana muda mwingi wa kucheza. Haya huenda ndiyo yaliyokuwa mawazo ya Kombo na Tambo lakini.
      Je, mkosi ulitokeaje?
      Miongoni mwa vitabu vingine katika mfululizo huu ni:
      • Asiyesikia la Mkuu
      • Usiku wa Manane
      • Kusema Ukweli
      • Sitaki Nife!
      • Msitu wa Uma
      • Matonetone
      • Maisha ya Shujaa Heshima
      • Musa na Sara
      . Ndoto za Matumaini
      • Kiswahili Gani
      • Maskini Punda
      • Masaibu Mbugani

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Likizo ya mkosi (KLB) by Matundura”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order

        Cart

        Your Cart is Empty

        Back To Shop
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS