Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Longhorn: Familia ya Sudi na Shada GD1

Original price was: KSh288.88.Current price is: KSh260.00.

Sudi na Shada ni wanafunzi wa gredi ya kwanza. Wanavumbua mbinu nzuri kabisa ya.kusoma kuhusu familia. Wanafunzi wenzao wanavutiwa sana na mbinu hii. Je, hii ni mbinu gani?

Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.

ISBN: 9789966641946

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Longhorn: Familia ya Sudi na Shada GD1”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us