Longhorn: Familia ya Sudi na Shada GD1
Original price was: KSh288.88.KSh260.00Current price is: KSh260.00.
Sudi na Shada ni wanafunzi wa gredi ya kwanza. Wanavumbua mbinu nzuri kabisa ya.kusoma kuhusu familia. Wanafunzi wenzao wanavutiwa sana na mbinu hii. Je, hii ni mbinu gani?
Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
ISBN: 9789966641946
Reviews
There are no reviews yet.