Cart

    Your Cart is Empty

    Back To Shop

      Cart

      Your Cart is Empty

      Back To Shop
      Sale!

      Longhorn Umilisi wa Kiswahili Grade 4 (Approved) by Kobia

      Original price was: KSh633.34.Current price is: KSh570.00.

      Longhorn Umilisi wa Kiswahili, Gredi ya 4 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandaliwa na kuandikwa kwa kuzingatia mtaala wa umilisi wa masomo ya shule za msingi, daraja la juu nchini Kenya.

      Kitabu hiki:

      * Kimekusudia kumwezesha mwanafunzi kukuza na kujenga ujuzi na uwezo wa kutumia stadi za lugha (kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika) kikamilifu kupitia utendaji na uvumbuzi wa maarifa.

      * Kimeandikwa kwa lugha rahisi inayoeleweka na kwa kutoa mifano mwafaka kutoka katika mazingira tofautitofauti.

      * Kimeshughulikia masuala mtambuko kama vile: uraia, utangamano, elimu ya amani, stadi za maisha, mazingira, elimu ya maendeleo endelevu, teknolojia na afya bora.

      ISBN: 9789966642240

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Longhorn Umilisi wa Kiswahili Grade 4 (Approved) by Kobia”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order

        Cart

        Your Cart is Empty

        Back To Shop
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS