Madalala abadilika by Rebecca Nandwa
Original price was: KSh211.12.KSh190.00Current price is: KSh190.00.
Awali, mvulana Madalala hakujali usafi wa mwili. Shuleni,Wanafunzi wenzake walimbagua na kukataa kucheza naye . Siku moja alikuwa mgonjwa. Alipopelekwa hospitalini, daktari aligundua kwamba maradhi yake yalitokana na uchafu. Alimshauri kuhusu umuhimu wa usafi. Soma zaidi kufahamu jinsi kinga ni bora kuliko tiba.
ISBN: 9789966788184
Reviews
There are no reviews yet.