Cart

    Your Cart is Empty

    Back To Shop

      Cart

      Your Cart is Empty

      Back To Shop
      Sale!

      Mentor Kielekezi cha Kiswahili Gredi 7 by Mentor

      Original price was: KSh822.00.Current price is: KSh740.00.

      Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 7 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumrahisishia mwanafunzi kuelewa na kufikia matokeo maalumu yanayotarajiwa.

      Kitabu hiki:

      -Kimeandikwa kumwezesha mwanafunzi kukuza na kujenga ujuzi na uwezo wa kutumia stadi za lugha; Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma, Kuandika na Sarufi.

      -Kimeandikwa kwa lugha rahisi na kutoa mifano mwafaka katika mazingira tofautitofauti.

      -Kimeshughulikia masuala mtambuko kama vile: uraia, utangamano, elimu ya amani, stadi za maisha, mazingira, elimu ya maendeleo endelevu, teknolojia na afya bora.

      -Kina mazoezi muhimu ya kumtathmini mwanafunzi na pia kujitathmini.

      -Kina Zoezi la Tathmini mwishoni mwa kila sura ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio zaidi.

      -Kimeandikwa na waandishi wenye tajriba kubwa katika ufundishaji wa somo la Kiswahili katika shule bora nchini Kenya. Wanaelewa vyema mahitaji ya mwanafunzi na mwalimu katika somo la Kiswahili na mtaala wa kiumilisi.

      ISBN: 9789914735055

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Mentor Kielekezi cha Kiswahili Gredi 7 by Mentor”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order

        Cart

        Your Cart is Empty

        Back To Shop
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS