Mentor Movement Activities Grade 3 by Mentor
KSh488.00 Original price was: KSh488.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.
MENTOR Movement Activities Grade 3 workbook is fully in line with the Competency Based Curriculum (CBC).The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for a Lower Primary Learner. This book has been authored by teachers with a wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966012104
Related products
-
Mentor CRE Activities GD 3 (Appr) by Mentor
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartMentor CRE Activities Grade 3 workbook is fully in line with the new competency based curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the Lower primary learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966059789
-
Mentor English Activities GD3 (Appr) by Oulo, Otieno, Ayieko
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartMentor English Activities Grade 3 workbook is fully in line with the new Competency Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966059741
-
Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi GD3 (Approved)
KSh633.00Original price was: KSh633.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartHatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunz: kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, sarufi na matumizi ya lughakusoma na kuandika. Vitabu hivi vina sifa zifuatazo:
– Mada kuu zilizopangwa kwa kuzingatia ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3 ili kurahisisha utumiaji.
– Vipindi vilivyopangwa kushughulikia mada ndogo mbalimbali kulingana na ruwaza ya mtalaa.
– Picha na michoro iliyochorwa kwa rangi za kupendeza ili kuvutia usomaji na ujifunzaji.
–Â Maswali dodoso yanayochochea uwezo wa mwanafunzi kufikiria na kudadisi masuala mbalimbali.
– Kazi za ziada na majaribio yanayomhusisha mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi kwenye makundi katika shughuli ainaaina.
–Â Mradi wa nyumbani unaowahusisha wazazi na walezi katika ujifunzaji wa Kiswahili na pia kukuza uwajibikaji.
–Â Hadithina utajiri wa shughuli nyingine zinazokuza umilisi wa kimsingi wa lugha ya Kiswahili na zilizooanishwa na masuala mtambuko, maadili chanya miongoni mwa masuala mengine.
– Matumizi ya teknolojia kwa mfano kusikiliza sauti redioni na unasaji sauti kwa kutumia simu na vifaa vingine vya kiteknolojia.
ISBN: 9789966479327
-
Moran Beginning Movement Grade 3
KSh583.00Original price was: KSh583.00.KSh525.00Current price is: KSh525.00.Add to cartBeginning Movement Activities is a day-to-day fun and learn activity book.
The book is carefully prepared to enable the learners enjoy as they further their competencies, skills and understanding of all the specific learning outcomes in the curriculum design. Peer assessment activities have deliberately been included in the book to enable learners engage in active learning and develop their ability to reflect on what they learn as they learn from others.
This platform is one way of developing numerous competencies and skills through the various activities. With Beginning Movement Activities, it is learning, growing healthy and having fun.
ISBN: 9789966634351
-
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 3 by Mwalimu Kipande
KSh428.00Original price was: KSh428.00.KSh385.00Current price is: KSh385.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630421
Reviews
There are no reviews yet.