Cart

    Your Cart is Empty

    Back To Shop

      Cart

      Your Cart is Empty

      Back To Shop
      Sale!

      Mkuu: Si Kitu by Shullam Nzioka

      Original price was: KSh538.89.Current price is: KSh485.00.

      Wote wawili, Sofi na Sali, walikuwa katika nyumba He He wakiwa wamefichwa: mmoja akiitunza siri na kutunzwa kisiri huku mwingine akiteswa kisiri kwa sababu ya siri.Chaanasa anakabiliwa na utata kuhusu maisha yake. Hawafahamu wazazi wake, wala hajui ikiwa bado wanaishi. Anayeijua historia yake naye anaifanya kuwa siri kubwa; siri ambayo anaihifadhi katika moyo – kiungo kidogo tu – ili kumlinda Chaanasa. Je, siri yenyewe inahusu nini kiasi cha kutunzwa, na mtu kuteswa? Je, Chaanasa atafanya juhudi kuibaini au atayaona hayo kuwa si kitu?Shullam Nzioka ni mwandishi chipukizi anayedhihirisha umilisi wake wa lugha ya Kiswahili kupitia hadithi hii iliyosukwa kwa mtindo utakaomvutia msomaji hadi hatima ya kisa chenyewe. Hiki ni kitabu chake cha kwanza kuwahi kuchapishwa.

      ISBN: 9780195738018

      Sale!
      Make Your Order

        Cart

        Your Cart is Empty

        Back To Shop
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS