Sale!
Sale!
MTP Mazoezi ya Kiswahili Gredi ya 2
Original price was: KSh427.77.KSh385.00Current price is: KSh385.00.
Baada ya kukitumia hiki kitabu, mwanafunzi ataweza;
- Kutumia mbinu zifaazo za usikivu katika mawasiliano katika mazingira yake.
- Kudhihirisha ufasaha wa kuzungumza
- Kusoma kwa ufasaha no kufahamu aina zozote za maandishi.
- Kuelezea mawazo, hisia na tajiriba kwa maandishi ya mkono au mbinu nyingine yoyote ya uwasilishaji.
- Kutumia sarufi ipasavyo katika mawasiliano.
- Kutumia msamiati ufaao katika mazingira yake kuwasiliana.
- Kuonyesha ukakamavu katika kuwasilisha masuala yanayomkabili na yanayokabill mazingira yake
Reviews
There are no reviews yet.