Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Nachora kwa Maneno by Swaleh Mdoe

Original price was: KSh350.00.Current price is: KSh315.00.

Kabla hata hajapata mtoto, Shangasa aliuchukia umasikini. Siku moja alimfuata mganga maarufu wajadi, jina lake Deberi. Watu wengi walimsifu Deberi kwa utabiri na dawa zake zenye kuleta bahati. Lakini miujiza hiyo haikuwa na maana, bali mazingaombwe tu. Hadithi za Adili zimekusudiwa kuburudisha na kuelekeza. Hiki kimependekezwa kwa madarasa ya juu katika shule za msingi.
ISBN: 9781957331690

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Nachora kwa Maneno by Swaleh Mdoe”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!
Make Your Order

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us