Cart

    Your Cart is Empty

    Back To Shop

      Cart

      Your Cart is Empty

      Back To Shop
      Sale!

      OUP Kiswahili Dadisi GD4 Wkbk by Oxford

      Original price was: KSh566.00.Current price is: KSh510.00.

      Kiswahili Dadisi Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika Mtalaa mpya wa Umilisi.
      Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata
      umilisi wa kimsingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. Vitabu hivi vinatoa utaratibu mwafaka wa kufanya
      mazoezi ya lugha kwa njia nyepesi na ya kueleweka. Kitabu hiki:
      • kimeandikwa kwa kufuata utaratibu uliopendekezwa kwenye mtalaa
      • kina mazoezi mengi ya kuchangamsha na kuelimisha, na ambayo yatamwezesha mwanafunzi kujenga na kupanua umilisi katika kila mada.
      • kina tathmini ya binafsi ambayo itamsaidia mwanafunzi kukadiria umilisi wake katika
      mada ndogo zote.
      Majibu ya mazoezi katika vitabu vyote vya Gredi ya Nne yanapatikana katika kitabu kimoja.

      ISBN: 9780195748758

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “OUP Kiswahili Dadisi GD4 Wkbk by Oxford”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order

        Cart

        Your Cart is Empty

        Back To Shop
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS