Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Panda Ngazi: Mbuzi anasoma

Original price was: KSh255.56.Current price is: KSh230.00.

Panda Ngazi ni mfululizo wa vitabu vya kusoma vilivyoandikwa ili kutosheleza mahitaji ya wasomaji walio na uwezo wa
kusoma unaotofautiana. Vitabu hivi havizingatii gredi ila kiwango cha uwezo wa kusoma. Vimepangwa kutoka vitabu
rahisi vya kusomwa na watoto wanaoanza kusoma hadi vile vyenye ugumu kiasi vya kusomwa na watoto wenye uwezo ulioimarika wa kusoma.
Mfululizo huu una viwango kama vile mwimbuko, mwanzo, mpito na kati.

ISBN: 9789966631152

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Panda Ngazi: Mbuzi anasoma”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!
Make Your Order

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us