1
KSh735.00

    Cart

    Quantity
    KSh735.00
    1
    KSh735.00

      Cart

      Quantity
      KSh735.00
      Sale!

      Queenex Chakula cha Biko na Hadithi Nyingine 1C

      Original price was: KSh322.23.Current price is: KSh290.00.

      Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
      Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Gredi ya kwanza na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umilisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuko. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki ni:
      – Usafi wa mwili
      – Usafi wa mazingira
      – Vyakula vya kiasilia
      – Shuleni

      ISBN: 9789966141132

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Queenex Chakula cha Biko na Hadithi Nyingine 1C”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order
      1
      KSh735.00

        Cart

        Quantity
        KSh735.00
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS