Queenex English Activities Grade 5 (Approved) by AGOLA
KSh666.00 Original price was: KSh666.00.KSh600.00Current price is: KSh600.00.
ISBN: 9780195749106
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh627.00Original price was: KSh627.00.KSh565.00Current price is: KSh565.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
Spotlight CRE Learner’s Book Grade 5
KSh722.00Original price was: KSh722.00.KSh655.00Current price is: KSh655.00.Add to cartSpotlight Christian Religious Education Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to equip the learner with skills, values and competencies that will enable him or her to grow spiritually and morally. The book will greatly prepare the learner to grow as a responsible citizen who is at peace with God, self, others and the environment.
Key features of the book:
-Covers all the strands, sub-strands and learning outcomes of the Christian Religious Education Grade 5 Competency-Based Curriculum.
-Relevant learning experiences are provided in form of activities within the level of the learners.
-Has enough digital activities where links have been provided for learners to watch videos. The videos provide more information, engage learners, bring about easier understanding of concepts and make learning of Christian Religious Education interesting.
– Attractive full-colour illustrations are used to clarify Christian Religious Education concepts.
-Develops concepts by using learner’s environment and real-life experiences to foster skills, attitudes and values in learners.
-Test Yourself exercises are provided for each sub-strand for formative assessment.
-Learner-centred approaches, discovery-based and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competencies, values and Pertinent and Contemporary Issues (PCls).
ISBN: 9789966572493
-
KLB Visionary Christian Religious Education Learner’s Grade 5 (Approved) by MWAURA
KSh488.00Original price was: KSh488.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.Add to cartChristian Religious Education is a learning area aimed at instilling in the learner moral and spiritual values to enable him or her live a morally upright life and fit well in society. KLB Visionary Christian Religious Education Grade 5 Learner’s Book, therefore:
• Has been developed in line with the requirements of Grade 5 CRE Competence-Based Curriculum Design.
• The experiences have been developed in line with the thematic integrated approach that is recommended for children at this level.
• The book is generously illustrated to enliven the content and the text follows the design
closely. The book has employed a child-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations in line with the Life Approach Method of teaching Christian Religious Education.
• It has used short texts in simple language with familiar situations created to help understand more difficult concepts.
• Gender equitable roles have been reflected so as to erase the association of certain tasks with specific gender
• The principle of inclusivity has been used by having illustrations of children with special needs involved in common activities with other children to make learners appreciate them as part of society.
• Active learning activities like discussing, singing, reading the Bible, debates, working in groups, and reciting memory verses are integrated within the lessons to make learning interesting and participatory.ISBN: 9789966656780
-
Kurunzi ya Kiswahili Grade 5 Mwanafunzi (Approved) by A. Matei, J. Mwamburi, F. Wangome, F. Atulo
KSh639.00Original price was: KSh639.00.KSh575.00Current price is: KSh575.00.Add to cartKurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha mwanafunzi kumudu mtalaa huu unaolenga umilisi kwa njia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ufunzaji.
Kitabu hiki
• Kimeshughulikia mada kwa njia inayomwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
• Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali. Mada hizi zinalenga kuimarisha umilisi wa kusikiliza kwa makini, kuzungumza kwa ujasiri, kusoma kwa ufasaha na kuandika vyema.
• Kuna mazoezi na mijarabu kama vile shughuli kwa mwanafunzi, shughuli ya vikundi, kazimradi, shughuli ya nyumbani na michezo ili kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi kwenye stadi mbalimbali za lugha.
• Picha halisi na michoro ya kuvutia inamsaidia mwanafunzi katika uelewa wa mada.
• Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia vifaa vya teknolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
• Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi ya uwekezaji, shughuli nje ya darasa, kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
• Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa.
•Kitabu cha mwalimu kipo ili kumpa mapendekezo katika ufunzaji.ISBN: 9789966572455
-
KLB Visionary Science and Technology Learner’s Grade 5 (Approved) by A. Kihugu, F. Munene, M. Aludo, P. Wainaina, L. Maundu, I. Mwendwa and C. Avadi
KSh527.00Original price was: KSh527.00.KSh475.00Current price is: KSh475.00.Add to cartScience and Technology has been designed with the aim of equipping the learner with scientific knowledge and attitudes that they can apply in their day-to-day life. The concepts presented build on the competencies introduced in the early years of learning.
• The science element presents activities that guide the learner through explanations and predictions about nature and the universe.
• The application of technological element introduces the learner to elementary technological concepts and the application of digital literacy in learning and solving problems.This Learner’s Activity Book (LAB) for Grade Five comprehensively covers Grade Five Science and Technology curriculum design. The learning activities help the learner acquire the following core competencies:
• Communication and collaboration
• Critical thinking
• Creativity and imagination
• Digital literacy
• Communication and collaboration
• Problem-solving
• Citizenship
The content incorporates Pertinent and Contemporary Issues (PCis) that include the following:
• Life skills and values education
• Health education
• Education for Sustainable Development (ESD)
• Disaster Risk Reduction (DRR)
• Community Service Learning and Parental EngagementISBN: 9789966656681
Reviews
There are no reviews yet.