1
KSh320.00

    Cart

    Quantity
    KSh320.00
    1
    KSh320.00

      Cart

      Quantity
      KSh320.00
      Sale!

      Queenex Mjusi Kafiri na Hadithi Nyingine 2A by Pauline Kea

      Original price was: KSh322.23.Current price is: KSh290.00.

      Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
      Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Gredi ya Pili na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umilisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuko. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki ni:
      – Mwili wangu
      – Familia
      – Siku za wiki

      ISBN: 9789966141149

      Sale!
      Make Your Order
      1
      KSh320.00

        Cart

        Quantity
        KSh320.00
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS