Secondary Biology form four students’ book KLB
KSh739.00 Original price was: KSh739.00.KSh665.00Current price is: KSh665.00.
Form 4 Biology New Syllabus Revised EditionPublisher: Kenya Literature Bureau
Related products
-
Chemchemi za Kiswahili Kidato cha nne by Wamitila
KSh794.00Original price was: KSh794.00.KSh715.00Current price is: KSh715.00.Add to cartChemchemi za Kiswahili ni mfululizo mpya wa vitabu vya Kiswahili ambavyo vimetayarishwa kwa kufuata silabasi mpya kwa shule za upili. Kitabu cha Chemchemi za Kiswahili, Kidato cha Nne kimezingatia mambo yafuatayo:
- Vifungu vya ufahamu vya kuvutia na kusisimua vitakavyompa mwanafunzi mafunzo na mazoezi teletele.
- Maelezo na ufafanuzi mustahili wa vipengee mbalimbali vya fasihi andishi na fasihi simulizi.
- Ufafanuzi kwa kina kifaacho kuhusu uandishi wa kawaida, uandishi wa kiubunifu, uandishi wa insha na utungaji wa kisanii.
- Uwasilishaji murua na unaoeleweka wa vipengee tofauti tofauti vya sarufi pamoja na mpangilio mpya wa ngeli.
- Usomaji wa makala mbalimbali katika magazeti, majarida, vitabu n.k.
- Mafunzo na mazoezi ya kusikiliza na kuzungumza yanayoburudisha na kushadidia vipengee mbalimbali muhimu kwa kuzingatia kiwango cha mwanafunzi wa kidato cha nne.
- Mifano kabambe ya karatasi za mtihani wa Kiswahili zenye muundo mpya wa mtihani hitimishi wa KCSE.
ISBN: 9966495274
-
Kiswahili Kitukuzwe Kidato Cha 4
KSh861.00Original price was: KSh861.00.KSh775.00Current price is: KSh775.00.Add to cartHili ni toleo jipya la Kiswahili kwa Kidato cha Nne, Kitabu cha Wanafunzi. Kitabu hiki ni cha nne katika mfululizo wa vitabu vinnevya Kiswahili kwa shule za upili.
Kitabu hiki kimefuata mfumo wa elimu wa 8-4-4 na kufanyiwa marudio kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya 2002 ya Kidato cha Nne.
ISBN: 9789966446114
-
Secondary Christian Religious Education Form 4 3rd edition
KSh644.00Original price was: KSh644.00.KSh580.00Current price is: KSh580.00. -
Top Notch Notes & Workbook Chemistry F4
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00. -
Biology Today Form 4 by Peter Kariuki, James Okumu, Lydia Njeru, Zedekiah Okwany
KSh983.00Original price was: KSh983.00.KSh885.00Current price is: KSh885.00.Add to cartBiology Today is a new series in biology specially designed to fully meet the objectives of the biology syllabus for secondary schools. The series has been developed by a team of teachers with vast experience in teaching and examining biology.
Biology Today Student’s Book 4:
Has been written in a simple language that is easy to understand.
Is highly illustrated to assist the student to understand concepts easily.
Highlights new developments In biology to bring the learner up-to-date with the most recent discoveries and developments in the subject.
Contains well-designed practical activities to enable the student to carry out practical activities successfully and make accurate references. Contains full-colour photographs to expose the student to the study of specimens through photographs.
Contains exciting and inspirational stories about pioneer scientists
Includes an examination guide at the end of every topic to help the student relate the content in the topic to an examination scenario.
An Answer Book for each level is also available.
ISBN: 9780195742749
Reviews
There are no reviews yet.