Ziro, rafiki mnafiki by Queenex
Original price was: KSh388.00.KSh350.00Current price is: KSh350.00.
Anabel Suluhu, msichana wa miaka 12, anasimulia jinsi anavyoponea tendo la unajisi kwa tundu la sindano. Fredrick Ziro, ambaye ni mkulima hodari wa kijijini, tena rafiki wa karibu wa familia ya akina Anabel, anajifanya mtu mwema sana na mtetezi wa haki za wasichana kijijini. Anaonyesha ukarimu mkubwa kwa Anabel na mama yake, kumbe chini kwa chini anapanga njama ya kumchafulia Anabel maisha.
ISBN: 9789966141941
Reviews
There are no reviews yet.