Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Shop

Showing 2569–2592 of 2674 results

  • Tuzo la Uaminifu by Story Moja by Muchemi

    Original price was: KSh500.00.Current price is: KSh450.00.

    Ili kuteuwa kiongozi mpya, simba mzee anawapa kiboko, kifaru na ndovu mtihani tata. Kila mmoja anataka kuwa mshindi na kuteuliwa kiongozi wa jangwani. Nani atashinda ISBN: 9789966620613

    Add to cart
  • Tuzo ya Ujasiri

    Original price was: KSh466.00.Current price is: KSh420.00.

    Wanafunzi wa darasa la nne wanatembelea mbuga ya wanyama ya Nairobi. Wanaelezwa mengi kuhusu wanyamapori na wawindaji haramu. Hata hivyo, wnavutiwa na kuburudishwa zaidi na vituko vya tumbiri mcheshi. Wanaondoka wakimjadili tumbiri huyo mwenye tabia zinazofanana na binadamu

    Author:
    Pauline Kea
    ISBN: 9789966620095
    Add to cart
  • Twelve Months by Ellen Banda-Aaku

    Original price was: KSh483.00.Current price is: KSh435.00.

    Don DiMarco has a very good life – a family he loves, a comfortable lifestyle, passions and interests that keep him amused. He also thought he had time, but that turned out not to be the case. Faced with news that might have immediately felled most, Don now wonders if he has time enough. Time enough to show his wife the romance he didn’t always lavish on her. Time enough to live out his most ambitious fantasies. Time enough to close the circle on some of his most aching unresolved relationships. Summoning an inner strength he barely realized he possessed, Don sets off to prove that twelve months is time enough to live a life in full.A glorious celebration of each and every moment that we’re given here on Earth, as well as the eternal bonds that we all share, TWELVE MONTHS is a stirring testament to the power of the human spirit.

    ISBN: 9780195736090

    Add to cart
  • Twist of Fate by Odero

    Original price was: KSh355.00.Current price is: KSh320.00.

    Tina and her parents are having a time of their lives until they are involved in an accident that leaves her father seriously injured. What will happen to young Tina’s dreams and aspirations? Read this fascinating story to find out how Tina and her mother cope with the unfortunate situation, and how Tina retains her …

    Twist of Fate by OderoRead More

    Add to cart
  • Twistable Crayons M And G 1Pkt 12s

    Original price was: KSh333.00.Current price is: KSh300.00.
  • Twisty Ceramic Modelling Clay

    Original price was: KSh500.00.Current price is: KSh450.00.

    Safe to use for all age groups

    Affordable and hustle-free (easy to prepare for use)

    End product is durable

    Nurtures skills such as modelling and talent perfection in the craft industry

    Instills economic and financial literacy skills to the learners

    Add to cart
  • Ua la Muli by Story Moja by Nyanchoka

    Original price was: KSh466.00.Current price is: KSh420.00.

    Kuna shamba lenye maua maridadi. Hata hivyo, ua moja tu la Muli ndilo halipendezi. Je, Muli atalifanyia nini? ISBN: 9789966621153

    Add to cart
  • Uamuzi wa wanyama

    Original price was: KSh466.00.Current price is: KSh420.00.

    Kwa miaka na mikaka, wanyama katika msitu wa Ngome wameishi kwa amani. Mfalme Simba anaandaa karamu ya kusherehekea urafiki baina ya wanyama. Hata hivyo, karamu inakatizwa wanyama wanaposhambuliwa kwa vijiti kutoka angani. Baadhi ya wanyama wanakufa. Wanyama wanaosalia wanalazimika kupambana na adui wasiyemfahamu. Vita vinabadili vipi uhusiano miongoni mwa wanyama?

    Author:
    Hillary Namunyu
    Add to cart
  • Uchochole si Kilema by Nyambu

    Original price was: KSh244.00.Current price is: KSh220.00.

    Kulanga alizaliwa katika maingira magumu yasiyosikika wala kutajika.
    Hali hii haikulua ndoto yake ya kufanikiwa Tabia njema na bidii yake
    zilimfanya aheshimike na walimu pamoja na wenzake shuleni
    Wavyele wake walipoipa dunia kisogo, ilionekana kana kwamba hataweza kufikia ile ndoto ya ajabu aliyokuwa nayo.
    Mfadhili wake anauawa kwa sumu na kisha mke wa mfadhili kukatisha ufadhille kijana huyu atafanyaje i kufanikiwa
    maishani na kuifikia ndoto yake?

    ISBN: 9789966075260

    Add to cart
  • Ufalme wa mende

    Original price was: KSh322.00.Current price is: KSh290.00.

    Ufalme wa Mende ni hadithi ya kusisimua inayolenga kutoa tahadhari dhidi ya kutozingatia usafi.Mzee tabu na mwanawe anayeitwa Mchafu, wanaathirika sana na mende hali inayoletwa  na kutopenda usafi.

    Nyumba ya mzee Tabu imekuwa miliki ya mende.Imetawaliwa na mende. Ufalme wa Mende. Mende hawa wanaleta maangamizi makubwa ya kuatua moyo.kUNATOKEA NINI?

    ISBN: 9789966140210

     

    Add to cart
  • Ujasiri wa Tito by Pamela Ngugi

    Original price was: KSh350.00.Current price is: KSh315.00.

    Tito alijua kwamba hii ndio nafasi ya pekee aliyokuwa nayo ya kujinasua Alijua kuwa ujasiri wake tu ndio ungemwokoa Tito alikabiliwa na hatari kubwa. Hatari hii ilitishia kumpoteza kwao milele. Hatari hii ingemtenganisha na wazaziwe na nduguye, Jesi, daima.Tito aliogopa haya. Aliogopa sana. Ndiyo maana aliamua kujijasiri. Alijua kuwa ujasiri huu huenda ungemletea adhabu kali, lakini hakuwa na budi ila kujitwika ujasiri huu. Ilimbidi afanye lolote, ajikakamue, mradi tu ajiokoe! Ujasiri wa Tito ni mojawapo ya hadithi katika mradi wa kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

    ISBN: 9780195739824

    Add to cart
  • Unlikely Burden and Other Stories longhorn

    Original price was: KSh777.00.Current price is: KSh700.00.

    ISBN: 9789966951397  

    Add to cart
  • Uno Ball Pens Medium Blue

    Original price was: KSh22.00.Current price is: KSh20.00.
  • Uno Card Game For Family Fun

    Original price was: KSh444.00.Current price is: KSh400.00.
  • Upepo wa mvua

    Original price was: KSh467.00.Current price is: KSh420.00.
  • Upside Down by Oxford

    Original price was: KSh361.00.Current price is: KSh325.00.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course.
    There are ten readers for each class specially written to emphasize specific language skills learned in the main course.
    Here is a reading scheme that offers the modern pupil an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the pupil has fun that’s built to last.
    Other titles for Class Eight
    8a Licence to Fly
    8b Arrested by a Police Dog
    8c Kidnapped
    8d The Bullfight
    8e Guilty or not Guilty?
    8f A Good Question
    8g On the Run
    8h In the Nick of Time
    8j A Double Win

    ISBN: 9780195734775

    Add to cart
  • Urafiki wa Siafu na Ndege

    Original price was: KSh444.00.Current price is: KSh400.00.

    Siafu anaenda mtoni kunywa maji. Akiwa kando ya mto anateleza na kuingia majini. Je, Ndege aliyekaribu anamwokoa? Akimwokoa, atamsaidia Ndege vipi?

    Author:Dennis Rugiri
    ISBN: 9789966622044
    Add to cart
  • Ushindi wa Kironje na hadithi nyingine

    Original price was: KSh322.00.Current price is: KSh290.00.

    Huu ni mkusanyiko wa hadithi kumi na mbili, zenye mafunzo sufufu katika jamii ya leo. Ni hadithi ambazo zitakufanya uache kula pilau kwa samaki ili uzisome kwanza! utakapokuwa ukizisoma, zitakufanya usahau ulikuwa na mlo mezani kutokana na ucheshi uliomo. Hadithi hizi zinanuia kuwafundisha wanafunzi maadili ili wajenge mustakabali.

    ISBN: 9789966140029

    Add to cart
  • Usicheze na moto! 4b by Pamela M.Y.Ngugi

    Original price was: KSh288.00.Current price is: KSh260.00.

    Usicheze na moto! 4b ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo jjjp kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Nne katika shule za msingi.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki fii:

    • Masimulizi rahisi ya hadithi.
    • Kuondosha hali ya uchovu wa kusoma kwa kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia mjadala, nyimbo, taharuki na sentensi fupifupi.
    • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya michezo ya kitoto, ushirikiano na ujirani mwema, kichekesho, sifa na hulka za watu tofauti na maarifa juu ya kukabiliana na hatari ya moto.

    Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu. Vitabu vingine katika kiwango hiki ni:

    ISBN: 2010143000235

    Add to cart
  • Usicheze na moto! 4b by Pamela M.Y.Ngugi

    Original price was: KSh288.00.Current price is: KSh260.00.

    Usicheze na moto! 4b ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo jjjp kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Nne katika shule za msingi.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki fii:

    • Masimulizi rahisi ya hadithi.
    • Kuondosha hali ya uchovu wa kusoma kwa kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia mjadala, nyimbo, taharuki na sentensi fupifupi.
    • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya michezo ya kitoto, ushirikiano na ujirani mwema, kichekesho, sifa na hulka za watu tofauti na maarifa juu ya kukabiliana na hatari ya moto.

    ISBN:9780195730715

    Add to cart
  • Usicheze na moto! 4b by Pamela M.Y.Ngugi

    Original price was: KSh288.00.Current price is: KSh260.00.

    Usicheze na moto! 4b ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo jjjp kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Nne katika shule za msingi.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki fii: Masimulizi rahisi ya hadithi. Kuondosha hali ya uchovu wa kusoma kwa kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia mjadala, nyimbo, taharuki na sentensi …

    Usicheze na moto! 4b by Pamela M.Y.NgugiRead More

    Add to cart
  • Uteuzi wa Chale Level 7 (One Planet) by Assumpta K.Matei

    Original price was: KSh333.00.Current price is: KSh300.00.

    ..binadamu ametunukiwa vipawa anuwai na Mwenyezi Mungu. Kuna vile ambavyo ni wazi kama meno ya ngiri
    ambavyo hata wenzake wanaviona. Kuna vile ambavyo sharti mja mwenyewe ajikune kichwa kuvitambua na kuvipalilia, hata
    kwa kusaidiwa na wengine. Hata hivyo, binadamu ana hiari ya kukikuza kipawa akitakacho. …uteuzi wa utakachotumia zaidi
    kwa ajili ya kuitumikia jamii yako utakuwa wako binafsi.”

    Uteuzi wa Chale ni kisa cha kusisimua kuhusu Chale, kijana anayejinyanyua kuvitambua vipawa alivyojaliwa na kuvikuza
    kwa manufaa ya jamii yake, licha ya vikwazo vinavyomkabili.  Hadithi hii inampa msomaji fursa ya kujitambulisha na mazingira yake na kumpa stadi za kukabiliana na_hali zinazomkumba.

    ISBN: 9789914410051

    Add to cart
  • Veda Crayons – 8 Pieces Per Pack

    Original price was: KSh55.00.Current price is: KSh50.00.
  • VEDA CRAYONS 12S

    Original price was: KSh111.00.Current price is: KSh100.00.

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us