Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Shop

Showing 721–744 of 2674 results

  • Kidagaa Kimemwozea Ken Walibora

    Original price was: KSh611.00.Current price is: KSh550.00.
  • Kidasi and Aloli 5B by Lewela

    Original price was: KSh238.00.Current price is: KSh215.00.
  • Kidnapped for Sale by David G. Maillu

    Original price was: KSh355.00.Current price is: KSh320.00.

    Katinda is an innocent primary school pupil at risk on account of her skin condition. Musembi, a fellow pupil at Matelembu Primary School, has developed a great liking for her. One night something bad happens, Katinda is captured by some evil men. Unknown to them, Musembi has jumped into the back of the escape lorry they are using. What will happen?

    This is a story about courage and determination in the face of evil. Read to find out how the pair, Musembi and Katinda help to bring down the empire of evil kidnappers, human traffickers and drug dealers.

    ISBN: 9789966075635

    Add to cart
  • Kids Electronic Toy Keyboard

    Original price was: KSh1,111.11.Current price is: KSh1,000.00.
  • KIDS WATERPROOF APRON

    Original price was: KSh555.55.Current price is: KSh500.00.
  • Kielekezi cha Kiswahili Pupils Grade 5 by E. Andati, K. Chituyi, N. Musyimi na S. Washika

    Original price was: KSh744.00.Current price is: KSh640.00.

    KIELEKEZI CHA MARUDIO YA KISWAHILI GREDI YA 5 KIELEKEZI cha marudio ya Kiswahili Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumrahisishia mwanafunzi kuelewa mfumo mpya wa elimu ya umilisi. Kitabu hiki:
    – Kimeandikwa kumwezesha mwanafunzi kukuza na kujenga ujuzi na uwezo wa kutumia stadi za lugha (Kusikiliza na kuzungumza, Kusoma, kuandika na Sarufi).
    – Kimeandikwa kwa lugha rahisi na kutoa mifano mwafaka.
    – kimeshughulikia Masuala mtambuko kama vile: uraia, utangamano, elimu ya amani, stadi za maisha, mazingira na teknolojia. – Kina Mazoezi muhimu ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio.
    – Kina Zoezi la Tathmini mwishoni mwa kila sura.
    – Kina karatasi sita za Majaribio ya mitihani.
    – Kimeandikwa na waandishi wenye tajriba kubwa katika ufundishaji wa somo la Kiswahili katika shule bora nchini Kenya. Aidha, wanaelewa mfumo wa umilisi kwa jumla.

    ISBN: 9789966012487

    Add to cart
  • Kielekezi cha Shughuli za Kiswahili Gredi 3 Kitabu cha Mwanafunzi by Mentor

    Original price was: KSh539.00.Current price is: KSh485.00.

    KIELEKEZI cha Shughuli za Kiswahili Gredi 3 kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya mtaata mpya unaozingatia umilisi.

    Kitabu hiki kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi.

    Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueteweka na mwanafunzi kwa urahisi.

     

    ISBN: 9789966059802

    Add to cart
  • Kifimbo cheza 4c by Ahmed

    Original price was: KSh288.00.Current price is: KSh260.00.
  • Kigogo (Story Moja) by Story Moja

    Original price was: KSh566.00.Current price is: KSh510.00.

    Tamthilia ya Kigogo inamulika baadhi ya masuala yanayoibuka katika nchi zinazoendelea za Bara la Afrika. Huku wakazi wa Sagamoyo wakijiandaa kuadhimisha siku ya uhuru utakaosherehekewa kwa mwezi mmoja na kujivunia `maendeleo makuu; Soko la Chapakazi, ambalo ndilo tegemeo la wengi jimboni, linafungwa ghafla. Je, viongozi wamelifunga kwa nia gani? Wakazi wa Sagamoyo wanaolitegemea kujipa riziki watafanya nini? Tamthilia hii inatoa picha halisi ya nchi inayojivunia miaka mingi ya uhuru. Je, uhuru huo unamfaidi nani?

     

    ISBN: 9789966066633

    Add to cart
  • Kijiji cha Haki by Storymoja

    Original price was: KSh533.00.Current price is: KSh480.00.

    Binti Kitabu anafunga safari ya kwenda Kijiji cha Maonevu kuakomboa wanakijiji dhidi ya maonevu ya Binti Maringo. Binti Maringo anatumia nguvu za kichawi kumtorosha
    mumewe kutoka Kijiji cha Maonevu.

    ISBN:9789966622730

    Add to cart
  • Kijiji cha Kisiwani

    Original price was: KSh533.00.Current price is: KSh480.00.

    Mazimwi yanatoka baharini na kuwapapasa watoto hasa wa umri mdogo katika Kijiji cha Kisiwani. Watoto wanaugua na hatimaye wanatoweka. Mkazi wa kijiji jirani anawaonea huruma wakazi wa kisiwani. Soma na ufahamu jinsi wakazi walijikomboa kutoka janga la
    mazimwi.

    ISBN:9789966622549

    Add to cart
  • Kijiji cha Mibabadume

    Original price was: KSh533.00.Current price is: KSh480.00.

    Viongozi wa Kijiji cha Mibabedume wanashikilia utamaduni unazowakandamiza wasichana
    na wanawake. Binti Kitabu anatumia elimu ya kitabu kuwakomboa kimawazo.

    Author:
    Hamisi Babusa,Clara Momanyi, Kenna Wasike, Jacob masika, Dominic oigo, Rachel Maina, Evalyne Vaati, Titus Kaui, Geoffrey Mang’ou, Beth Mutugu, Edwin Omindo, Jessica Kathambi,
    Add to cart
  • Kijiji cha Ukame

    Original price was: KSh533.00.Current price is: KSh480.00.

    Wakazi wa Kijiji cha Ukame wanafyeka misitu na kujigawia mashamba. Muda si muda mvua inakosekana na wanakumbwa na athari za kiangazi. Hawana maji wala chakula. Mimea inanyaukia mashambani huku mifugo wakifa kwa kukosa lishe na maji. Je, watafuata ushauri wa Binti Kitabu kuhusu uhifadhi wa mazingira?

    Author:
    Hamisi Babusa,Clara Momanyi, Kenna Wasike, Jacob masika, Dominic oigo, Rachel Maina, Evalyne Vaati, Titus Kaui, Geoffrey Mang’ou, Beth Mutugu, Edwin Omindo, Jessica Kathambi,
    Add to cart
  • Kijiji cha Umoja

    Original price was: KSh533.00.Current price is: KSh480.00.

    Makabila ya Wavuvi na Wakulima yanawindana kama paka na panya,. Wakati wa uchanguzi, kila kabila linachagua mtu wao bila kujali sifa zake za uongozi.

    Kiongozi mpya anapigania maslahi ya waliomchagua akipuuza kabila jingine. Uhasama unazuka miongoni mwa wanaobaguliwa .Athari za vita vya kikabila vinalemeza maendeleo ya eneo. soma kitabu hiki ufahamu jinsi binti kitabu anavyotumia maarifa kupatanisha makabila haya na kufufua maendeleo.

    ISBN:9789966622594

     

    Add to cart
  • Kijiji cha Ushindi

    Original price was: KSh555.00.Current price is: KSh500.00.

    Binti Kitabu ni mwanamke anayejitahidi kupigania haki za wanadamu na kuendeleza elimu ya vitabu. Anafanya hivyo kwa kuvikomboa vijiji mbalimbali dhidi ya maonevu na udhalimu wa viongozi waovu.

    ISBN:9789966622747

    Add to cart
  • Kiki afunga Bao 3b by Rukaria

    Original price was: KSh224.00.Current price is: KSh189.00.
  • Kiki and Kim by Queenex

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.

    “This is a very simplified step to introduce money lessons to young children.It is designed to help children appreciate the value of money and embrace a saving culture.”

    Add to cart
  • Kiki and the Piggy Bank by Queenex

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.

    It is good to teach children about finances. They grow up with a responsible attitude about money. Later, they use their money wisely.

    This book is designed to help children appreciate the value of money and embrace a saving culture. This is an interesting story about a small girt, Kiki. She saves money in her piggy bank. Later she opens a bank account.

    Add to cart
  • Kiki goes Shopping by Nandwa

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.
  • King of all Fish 4g by E Kabaji

    Original price was: KSh300.00.Current price is: KSh270.00.

    King of all Fish

    ISBN: 2010141001222

    Add to cart
  • King of all Fish 4g by E Kabaji

    Original price was: KSh300.00.Current price is: KSh270.00.

    King of all Fish

    ISBN: 2010141001222

    Add to cart
  • King Saul and David

    Original price was: KSh333.00.Current price is: KSh300.00.

    King Saul and David Author: Sarah Ambiyo ISBN: 978 9966 347 65 7 David becomes not only successful in war but the people of Israel come to love him more than they love King Saul. The king becomes jealous of David and plans to kill him.

    Add to cart
  • King’s Ring Moran grade Level 5 by Emerson

    Original price was: KSh455.00.Current price is: KSh410.00.
  • kiparangoto

    Original price was: KSh327.00.Current price is: KSh295.00.

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us