Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Shop

Showing 745–768 of 2674 results

  • Kipengo 2b by Oxford

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.
  • Kipepeo apeperuka by Said

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.

    Dunia haishi maajabu. Kuna mengi ya kuajabia. Katika ulimwengu wa wadudu, kuna baadhi yao wanaopitia hatua kadhaa za maisha yao kuanzia yal. Mageuzi hayo katika maumbile yao na maisha yao yana maana na umuhimu kwetu pia. Hebu tujifunze sote maumbile ya kipepeo. Hassan Said ana tajriba pana katika uchapishaji vitabu hasa kamusi na hadithi za watoto. Sasa amejitoma katika ulingo wa hadithi, kama mwandishi chipukizi, akipanua mawanda ya uhariri na uandishi.

    ISBN: 9789966115157

    Add to cart
  • kipepeo mrembo klb

    Original price was: KSh144.00.Current price is: KSh130.00.
  • KISA CHA KUKU NA MWEWE

    Original price was: KSh230.00.Current price is: KSh190.00.

    Kuku na Mwewe walikuwa marafiki wakubwa.Kuku akamfanyia rafiki yake Mwewe ukatili uliosababisha watoto wake kufa.Soma hadithi ujue Kuku alifanya nini kwa Mwewe.

    Add to cart
  • Kisa cha Mebo by Atulo

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.
  • Kisa cha Peremende 2a by Maillu

    Original price was: KSh225.00.Current price is: KSh203.00.

    Muli na Ndungi ni marafiki wakubwa. Walimsaidia mvulana kwa jina Mumo kwenda nyumbani alipoteguka mguu wakicheza. Muli na Ndungi walipewa kila mmoja pakiti ya peremende na babake Mumo. Peremende za Muli zinaendelea kuongezeka. Peremende za Ndungi nazo zinaendelea kupunguka na mwishowe kumalizika. Je, ni kwa nini peremende za Muli zinaongezeka na za Ndungi kupungua?

    ISBN: 9789966341846

    Add to cart
  • Kisasi Hapana! 8a by Ken Walibora

    Original price was: KSh400.00.Current price is: KSh360.00.

    Kisasi Hapana! 8a ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za .msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni: masimulizi rahisi kwa njia ya barua ya kirafiki, utambaji hadithi, hadithi ndani ya hadithi na usimulizi kwa nafsi ya kwanza umoja. kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tashbihi, takriri, kejeli, chuku, tanakali za sauti, maswali ya balagha, taswira na picha za rangi zenye kusisimua. kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani na vijijini, michezo, afya, umuhimu wa elimu, kuwaheshimu watu wazima na wazazi, uwajibikaji, kazi, utu, uvumilivu, uadilifu, jinsia, haki za binadamu na haki za watoto.

    ISBN: 9780195734331

    Add to cart
  • Kiswahili Angaza Mwanafunzi Grade 6 (Approved)

    Original price was: KSh850.00.Current price is: KSh765.00.

    Kiswahili Angaza, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 6 ni kitabu kilichotungwa na kusukwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kitabu hiki kimetosheleza mahitaji yote ya mtaala waumilisi. Kinakuza umilisi uliopendekezwa kwenye mtaala, maadili na kufahamisha kuhusu masuala mtambuko. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia kwa stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma,Kuandika na Sarufi.

     

    Add to cart
  • Kiswahili Dadisi Grade 1 by Oxford University Press (OUP)

    Original price was: KSh577.77.Current price is: KSh520.00.

    Kiswahili Dodisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipyo vilivyoandikwa kwo upekee iti kutosheleza mahitaji ya mtaloo mpyo wa Umilisi. Vitabu Finn vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahomu we Lugha kupitio stadi za kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vino mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuzo umitisi uliopendekezwa. maadili no kufahamisha kuhusu masualaibuka.

    Katika Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha. Kitabu cha Mwanafunzi. Gredi utapata:

    • made zilizopangwo kwa kuzingatio muainisho wa mtalaa mpya
    • mifano halisi ya miktodho ambapo Lugha hutumika
    • mazoezi nje ya darasa iii kuendeteza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli zo kijamii zinazokuza ujifunzaji
    • mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
    • jinsi ya kuwashirikisha wazazi no walezi iii kuimarisha uwajibikaji.

    ISBN: 9780195746822

    Add to cart
  • Kiswahili Dadisi mazoezi ya Lugha Grade 1

    Original price was: KSh577.77.Current price is: KSh520.00.

    Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vilivyoandikwa kwa utaalamu na upekee ili kufanikisha ufundishaji na ujifunzaji wa mahitaji ya Mtaala wa Umilisi. Vitabu hivi vitawawezesha wanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika, na vilevile Sarufi, kupitia mazoezi murua ambayo pia yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala mtambuko. …

    Kiswahili Dadisi mazoezi ya Lugha Grade 1Read More

    Add to cart
  • Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 2

    Original price was: KSh594.44.Current price is: KSh535.00.

    Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunzo. Pia vinakura umili uliopendekezwa, maadili kufahamisha kuhusu masualaibuka.

    Katika Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi. Gredi 2. utapata :

    -mada zilizopangwa Kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya
    -mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika
    -mazoezi nje ya darasa ili kuendeleza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
    -Jinsi ya kuwashirikisho wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji

    Kiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji

    ISBN: 9780195746839

    Add to cart
  • Kiswahili Kitukuzwe Kidato Cha 1

    Original price was: KSh694.00.Current price is: KSh625.00.

    Hili ni toleo jipya Ja Kiswahili kwa Kidato cha Kwanza, Kitabu cha Wanafunzi. Kitabu hiki ni cha kwanza katika mfululizo wa vitabu vinne vya Kiswahili kwa shule za upili.

    Kitabu hiki kimefuata mfumo wa elimu wa 8-4-4 na kufanyiwa marudio kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya 2002 ya Kidato cha Kwanza.

    ISBN: 9789966447791

    Add to cart
  • Kiswahili Kitukuzwe Kidato Cha 2

    Original price was: KSh761.00.Current price is: KSh685.00.

    Hili ni toleo la nne la Kiswahili kwa Kidato cha Pili, Kitabu cha Wanafunzi. Kitabu hiki ni cha pili katika mfululizo wa vitabu vinne vyaKiswahili kwa shule za upili.

    Kitabu hiki kimefuata mfumo wa elimu wa 8-4-4 na kufanyiwa marudio kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya Kidato cha Tatu.

    ISBN: 9789966448477

    Add to cart
  • Kiswahili Kitukuzwe Kidato Cha 3

    Original price was: KSh838.00.Current price is: KSh755.00.

    Hili ni toleo la nne la Kiswahili kwa Kidato cha Tatu, Kitabu cha Wanafunzi. Kitabu hiki ni cha tatu katika mfululizo wa vitabu vinne vya Kiswahili kwa shule za upili.

    Kitabu hiki kimefuata mfumo wa elimu wa 8-4-4 na kufanyiwa marudio kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya Kidato cha Tatu.

    ISBN: 9789966101150

    Add to cart
  • Kiswahili Kitukuzwe Kidato Cha 4

    Original price was: KSh861.00.Current price is: KSh775.00.

    Hili ni toleo jipya la Kiswahili kwa Kidato cha Nne, Kitabu cha Wanafunzi. Kitabu hiki ni cha nne katika mfululizo wa vitabu vinnevya Kiswahili kwa shule za upili.

    Kitabu hiki kimefuata mfumo wa elimu wa 8-4-4 na kufanyiwa marudio kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya 2002 ya Kidato cha Nne.

    ISBN: 9789966446114

    Add to cart
  • Kiswahili Mufti Grade 1

    Original price was: KSh600.00.Current price is: KSh572.00.

    Longhorn Kiswahili Mufti ni kitabu kilichoandikwa kwa mtindo wa mazoezi kwa kuzingatia mtaala mpya unaokusudiwa kujenga ujuzi wa mwanafunzi kupitia utendaji na uvumbuzi wa maarifa. Kitabu hiki kimetimiza kikamilifu mahitaji ya mada zote za silabasi mpya ya somo la Kiswahili kwa wanafunzi wa gredi ya kwanza

    Add to cart
  • KISWAHILI SAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI GRADE 8(APPROVED)

    Original price was: KSh688.00.Current price is: KSh620.00.

    Hiki ni kitabu kilichoandaliwa kwa ajili ya kuimarisha ujuzi na umilisi wa mwanafunzi katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, kusoma, kuandika, pamoja na sarufi. Aidha, kinanuiwa kumwezesha mwanafunzi kufikia matokeo maalum yanayotarajiwa kama yalivyopendekezwa katika mtaala.Kitabu hiki kina:

    1.Shughuli za ujifunzaji zinazochochea uwazaji kina  na utatuzi wa matatizo.

    2.Mbinu mbalimbali za ujifunzaji kama vile mijadala, uwasilishaji na uigizaji ili kuimarisha ujifunzaji.

    3.Lugha sahili inayoafiki kiwango cha mwanafunzi.

    4.Mifano mbalimbali inayomwongoza mwanafunzi.

    5.Michoro mbalimbali inayomsaidia mwanafunzi katika kujifunza dhana husika.

    6.Shughuli zinazofanywa na mwanafunzi binafsi na zinazomhitaji kushirikiana na wenzake.

    7.Sehemu ya hoja kuu inayompa mwanafunzi maelezo ya kina kuhusu dhana inayohusika.

    8.Shughuli za kidijitali zinazoimarisha ujuzi wa kidijitali kwa mwanaunzi.

    9.Sehemu ya TATHMINI YANGU inayomwezesha mwanafunzi kujitathmini kwa mujibu wa matokeo maalum yanayotarajiwa.

    10. Sentensi zinazojenga maadili na kuangazia masuala mtambuko.

    Bila shaka kitabu hiki kitampa mwanafunzi hamu ya kujifunza kiswahili.

    kiswahili sahili,Rasa hasa!

    ISBN: 9789914729702

    Add to cart
  • Kiswahili Taaluma kitabu cha Chekechea by Cecilia Wamuyu

    Original price was: KSh388.00.Current price is: KSh350.00.
  • Kitabu changu cha Kiswahili by Njoroge

    Original price was: KSh433.00.Current price is: KSh390.00.

    Kitabu hiki kimeandikwa nu mwandishi mwenye tajriba pana ya kufundishc katika Shule za Chekechea nchini Kenya. Muundo wa kitabu hiki utamsaidia mwanafunzi kupata msingi imam wa elimu ya kiwango cha Chekechea. Mwanafunzi anahakikishiwa stadi muhimu zinazohitajika katika kujenga msingi dhabiti masomoni. Kitabu hiki kitamsaidia mwanafunzi:

    • Kusoma vokali
    • Kusoma silabi za vokali
    • Kulinganisha picha na jina
    • Kuchora picha ya jina
    • Kutunga sentesi kutokana no picha Vitabu vingine katika msururu huu ni:
    • Kujaza nafasi kwa vokali
    • Kutunga maneno kwa vokali na silabi
    • Kuandika maneno vizuri
    • Kutunga sentesi kwa maneno
    • Kinyume, Tarakimu na Wingi

    ISBN: 9789966788924

    Add to cart
  • kitendawili cha nungunungu-one planet

    Original price was: KSh261.00.Current price is: KSh235.00.

    Adamu na Mwangavu wanatoka shuleni. Adamu anajikwaa kwenye kitu anachodhani ni jiwe. Anasimulia wazazi wake kisa hicho. Baba yake, Mganga Fadhili, anamwambia si jiwe bali ni nungunungu ambaye hapo awali alikuwa kijana mtundu. Je, binadamu anaweza…

    By One Planet
    Add to cart
  • Kiti cha Moyoni na hadithi Nyingine by Oxford

    Original price was: KSh761.00.Current price is: KSh685.00.

    Kiti cha Moyoni na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi ishirini ambazo zinathibitisha kwamba uwanja huu wa fasihi ya Kiswahili umefikia ukomavu wa hali ya juu katika vipengele vyake vyote: kimaudhui (ambayo ni anuwai: mapenzi, unyumba, siasa, uchumi, ucheshi, uana, utamaduni, mazingira, ufisadi, utandawazi na taathira zake kimataifa, n.k.); kimtindo na ujumi (ambao umezikoleza utamu na ladha hadithi zenyewe, hasa katika mtindo mpya wa fantasia na mkengeuko wa ukweli kama tunavyoujua kila siku). Bila shaka, mna ukwasi wa lugha, unaokwepa Kiswahili cha darasani; hasa kwa wingi wa ufundi wake uliojaa misamiati, jazanda, sitiari na tamathali zote za semi kwa ujumla.

    ISBN: 9780195733785

    Add to cart
  • Kito apepeta by Rebecca Nandwa

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.

    Kito, msichana mdogo wa shule ya msingi, ana kipawa cha kuimba. Kila apatapo nafasi anakuza kipawa hicho. Mwalimu anapomtafuta mwanafunzi ambaye atamtumbuiza mgeni mkuu, wanafunzi wanamchagua Kito.Je, ataweza jukumu hilo? Kito Apepeta kimeandikwa kwa ustadi mkubwa. Kitabu hiki kinawalenga watoto wanaoanza kukamaa kwa lugha no fasihi. Kinaburudisha na kuwahimiza watoto kukuza vipaji vyao.

    ISBN: 9789966788174

    Add to cart
  • kitoweo cha mama

    Original price was: KSh533.00.Current price is: KSh480.00.

    Kitoweo cha mama na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi kadhaa za kusisimua na za kipekee. Hadithi hizi zinaangazia hali halisi za maisha ya wanadamu kupitia wahusika wanayama. Zimejikita kwenye maudhui kama vile kusema ukweli, utiifu,kuwajali wengine, usaliti, subira na uvumilivu. Kutokana na hadithi hizi, wasomaji walengwa watachochewa kuwa na fikra za kipekuzi na za kibunifu ili waweze kudadisi mambo na kutafuta suluhu za changamoto mbalimbali zinazoweza kuwakumba maishani.

    Author:
    Seth Mboya

    Add to cart
  • KIU LONGHORN

    Original price was: KSh700.00.Current price is: KSh630.00.

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us