1
KSh750.00

    Cart

    1
    KSh750.00

      Cart

      Sale!

      Hidaya Yangu

      Original price was: KSh705.00.Current price is: KSh635.00.

      Hidaya Yangu
      ISBN: 978 9966 63 133 6
      Mwandishi: John Habwe
      Hidaya Yangu ni hadithi ya Dena ya kujisaka ili kujielewa anapojipata anatapatapa katika ulimwengu uliojaa masaibu mengi, ubaguzi na maudhi ya kutokuwa na mama wala baba.
      Ni hadithi ya kuchukiza, kuliza na hata Kutamausha. Hata hivyo, Dena anasimama kidete na kupigana dhidi ya changamoto za maisha kufa kupona. Anakataa kukubali kushindwa licha ya doa la usuli wake. Ni hadithi inayosisitiza ukweli kwamba Mungu akikupa kilema hukupa na mwendo pia.
      Ni hadithi iliyo na mvuto mkubwa unapoisoma, Inasisimua, inadara, inahoji na wakati huo huo inakushawishi na kukupa ari ya kuisoma tena na tena. Imesimuliwa kiufundi ili kuangazia kinaya na hadaa ziandamazo maisha ya mwanadamu kila uchao.

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Hidaya Yangu”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order
      1
      KSh750.00

        Cart

        Call Us
        COMPARE PRODUCTS