1
KSh320.00

    Cart

    1
    KSh320.00

      Cart

      Sale!

      Homa ya nyumbani na hadithi nyingine

      Original price was: KSh567.00.Current price is: KSh510.00.

      Ken WaliboraSaid Ahmed Mohamed
      Phoenix Publishers Limited, 2015 – 180 pages

      Fasihi ni kioo cha jamii. Hadithi fupi, kama utanzu wa fasihi, huweka wazi masuala na matukio katika jamii kiasi cha jamii kueleweka na kutambulika. Uhusiano miongoni mwa wanajamii husawiriwa kupitia mienendo, mazungumzo, matendo na fikira ya wahusika. Hali ambayo huwafanya wapenzi wa fasihi, haswa hadithi fupi, kujua jinsi jamii yao ilivyo, na kwa hivyo, kuendeleza maadili ama kupogoa jambo lolote linaloenda kombo. Mkusanyiko huu wa Homa ya Nyumbani na Hadithi Nyingine ni wa pekee na hauna mwenza wala mshindani.

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Homa ya nyumbani na hadithi nyingine”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order
      1
      KSh320.00

        Cart

        Call Us
        COMPARE PRODUCTS