Cart

    Your Cart is Empty

    Back To Shop

      Cart

      Your Cart is Empty

      Back To Shop

      Mashairi Bulbul 7c by Ahmed hussein Ahmed

      KSh366.67

      Mashairi Bulbul 7c ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

      • mashairi yaliyobeba maudhui anuwai.
      • ubunifu wa mtunzi kutupambia mashairi kwa methali, mafumbo, masimulizi, tashihisi, takriri, tashbihi na taswira ili kutufunza na kupitisha ujumbe wake.
      • mitindo, bahari na aina mbalimbali za mashairi kama vile tathnia, tathlitha, tarbia, takhmisa, ukumi, ngonjera. utenzi, wimbo, ukaraguni, ukawafi, kikwamba na sakarani.
      • uangaziaji wa masuala ibuka kama vile dawa za kulevya, teknolojia, uadilifu, ushauri na nasaha, utatuzi wa matatizo, ubingwa wa lugha, vichekesho na burudani.

      Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

      ISBN: 9780195736656

      Make Your Order

        Cart

        Your Cart is Empty

        Back To Shop
        Call Us
        COMPARE PRODUCTS