1
KSh375.00

    Cart

    1
    KSh375.00

      Cart

      Sale!

      Mshale wa Matumaini Grade 7 (Access) by John Habwe

      Original price was: KSh444.00.Current price is: KSh400.00.

      Zingo na mama yake wanakimbilia ughaibuni kufuatia mzozo wa kikabila katika nchi yao. Huko ughaibuni wanakabiliwa na matatizo mengi. Zingo anafanya bidii kuyakabili licha ya umri wake mdogo. Hata hivyo, kinachomstaajabisha na kumhuzunisha ni kuhusishwa na baba yake ambaye anatuhumiwa kuwa mhalifu wa kivita. Zingo anabaguliwa na wenzake lakini anapiga moyo konde na kuendelea na masomo yake ambayo sasa yanampa matumaini ya kuyageuza maisha yake ya karaha kuwa ya furaha. Hii ni hadithi ya huzuni inayofunua makovu ya mizozo ya kijamii hasa mizozo hiyo inavyoathiri vijana wadogo.

      ISBN: 9789914729931

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Mshale wa Matumaini Grade 7 (Access) by John Habwe”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order
      1
      KSh375.00

        Cart

        Call Us
        COMPARE PRODUCTS