Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1
KSh505.00 Original price was: KSh505.00.KSh455.00Current price is: KSh455.00.
Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.
Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:
(i) Kusikiliza
(ii) Kuzungurnza
(iii) Kusoma
(iv) Kuandika
(v) Msamiati
(vi) Sarufi
ISBN: 9789966511065
Related products
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 1 (Approved)
KSh311.00Original price was: KSh311.00.KSh280.00Current price is: KSh280.00.Add to cart
KLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 1 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652324
-
Add to cart
Our Lives Today Environmental Activities is a series specially written to provide practical experiences that support the acquisition of science. social studies and agriculture skills for the new competency-based curriculum. Books in the series have a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at the acquisition of the core competencies, values, and pertinent and contemporary issues (PC I s). Our Lives Today Environmental Activities Grade One provides:
- Topics that are structured according to the strands and sub-strands as outlined in the new competency-based curriculum.
- Activities that present real-life situations where learners can solve problems through creativity and critical thinking.
- Group activities that facilitate learning by discovery through teamwork and collaboration.
- Take home activities that enhance learning at home and in the community.
- Fun spots that make learning fun and exciting through songs, poems. puzzles and much more.
ISBN: 9780195746587
-
Rated 0 out of 5
Growing in Christ CRE Activities Grade1
KSh344.00Original price was: KSh344.00.KSh310.00Current price is: KSh310.00.Add to cart
The Growing in Christ competency-based series is specially written to provide practical experiences that will build the learners’ knowledge and understanding of the Christian faith, as well as equip them with values, skills and attitudes that will assist them to live well with self and others. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at the acquisition of the core competences and values as well as an appreciation of pertinent and contemporary issues. The Learner’s Book ensures coverage of the New Competency-based Curriculum by providing:
• Content that is structured according to the curriculum design.
• A Let us do a section that carries individual and collaboration activities through which the learners create new learning.
• Real-life situations that require learners to apply creativity and critical thinking skills in solving everyday problems.
• An In the Bible section that summarizes the content of Bible verses.
• A Take home section that encourages learners to learn from the home environment as well as apply what they have learnt.
• An I wonder section, which encourages learners to imagine a different world and thus appreciates the Word of God, themselves and others. Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the New Competency-based Curriculum.Oxford, your companion for success!
ISBN: 9780195746709
-
Rated 0 out of 5
JKF New Primary English Grade 1 (Approved)
KSh422.00Original price was: KSh422.00.KSh380.00Current price is: KSh380.00.Add to cartThe New Primary English Learner’s Activities Book for Grade 1 is part of a series designed in line with the competency-based curriculum. The book has a strong activity orientation that emphasizes the acquisition of the appropriate language skills, namely, listening and speaking; reading and writing.
The key features of the book are:
• content that is moderated and aligned with the subject-specific learning outcomes, age and level of the learners;
• relevant and accurate content that is organized in such a manner as to enhance progressional acquisition of the language skills; • accurate, correct and easy-to-understand language;
• varied, adequate and attractive illustrations to enhance understanding;
• clear, relevant and adequate learner-centred activities.
These features are crafted to provide the learners with an opportunity to develop the core competencies.ISBN: 9789966511232
-
Rated 0 out of 5
Mentor English Activities Grade 1 Learner’s Book
KSh555.55Original price was: KSh555.55.KSh500.00Current price is: KSh500.00.Add to cartMentor English Activities Grade 2 workbook is fully in line with the new Competency Based Curriculum.The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya
Reviews
There are no reviews yet.