1
KSh440.00

    Cart

    1
    KSh440.00

      Cart

      Sale!

      Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi GD4

      Original price was: KSh711.12.Current price is: KSh640.00.

      Hatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata
      mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na
      kuzungumza, sarufi na matumizi ya lugha, kusoma na kuandika. Vitabu hivi vina sifa zifuatazo: • Mada kuu zilizopangwa kwa
      kuzingatia ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 4 ili
      kurahisisha utumiaji. Vipindi vilivyopangwa kushughulikia mada ndogo mbalimbali kulingana na ruwaza ya mtalaa.
      Picha na michoro iliyochorwa kwa rangi za kupendeza ili kuvutia usomaji na ujifunzaji. • Maswali dodoso yanayochochea
      uwezo wa mwanafunzi kufikiria na kudadisi masuala
      mbalimbali. Kazi za ziada na majaribio yanayomhusisha mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi kwenye
      makundi katika shughuli ainąaina. Mradi wa nyumbani unaowahusisha wazazi na walezi katika ujifunzaji wa Kiswahili na pia
      kukuza uwajibikaji. · Hadithi na utajiri wa shughuli nyingine zinazokuza umilisi wa kimsingi wa lugha ya Kiswahili
      na zilizooanishwa na masuala mtambuko, maadili chanya miongoni mwa masuala mengine.
      Matumizi ya teknolojia kwa mfano kusikiliza sauti redioni na unasaji sauti kwa kutumia • simu na vifaa vingine vya
      kiteknolojia. Mathias Momanyi ni mtafiti, mwandishi, mwalimu na mwanahabari mashuhuri. Ameandika vitabu vingi vikiwemo
      msururu wa Kilele cha Insha vilivyosifiwa kwa ukwasi wake wa fani na tamathali za lugha komavu. Yahya Mutuku ni mwandishi
      na vilevile mwalimu mwenye uzoefu na utaalamu mkubwa. Ameshiriki kikamilifu katika harakati, na mikakati ya ukuzaji wa
      Kiswahili kupitia vipindi vya Kiswahili. Ameshirikiana na Mathias Momanyi kuandika msururu wa Kilele cha’ Insha
      vilivyosifiwa kwa ukwasi wake wa fani na tamathali za lugha komavu. Pia ameandika hadithi nyingi pamoja na Kamusi ya Picha.

      ISBN: 9799966479722

      Reviews

      There are no reviews yet.

      Be the first to review “Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi GD4”

      Your email address will not be published. Required fields are marked *

      1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

      Sale!
      Make Your Order
      1
      KSh440.00

        Cart

        Call Us
        COMPARE PRODUCTS