Targeter Combined Encyclopedia Volume 1 Grade 8
KSh1,555.50 Original price was: KSh1,555.50.KSh1,400.00Current price is: KSh1,400.00.
ISBN: 9789966016034
Related products
-
Moran Skills in English Grade 8 by Moran
KSh1,022.23Original price was: KSh1,022.23.KSh920.00Current price is: KSh920.00. -
OUP Kiswahili Fasaha Grade 8 (Approved) by Oxford
KSh1,005.56Original price was: KSh1,005.56.KSh905.00Current price is: KSh905.00.Add to cartKiswahili Fasaha ni msururu ulioandikwa kwa njia ya kipekee na unaokidhi mahitaji yote ya Mtaala wa Kiumilisi. Vitabu katika msururu huu vina shughuli anuwai ambazo zinalenga kumsaidia mwanafunzi kupata umilisi, maadili na masuala mtambuko
yanayokusudiwa katika mtaala.Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8 kina:
-Shughuli mbalimbali zitakazomwezesha mwanafunzi kupata stadi zote nne za lugha – Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na
Kuandika – pamoja na matumizi ya sarufi kimuktadha-Sehemu za Zinduo ambazo zinatoa maelezo ya kina kuhusu dhana husika
-Sehemu za Elimujamii ambazo zinampa mwanafunzi nafasi ya kuendeleza ujifunzaji wake nje ya darasa
-Sehemu za Dijitika ambazo kwazo mwanafunzi ana nafasi ya kutangamana na vifaa vya kidijitali katika kufanya mazoezi
-Michoro ya rangi inayochangia uelewa wa dhana zinazofunzwa
-Tathmini binafsi baada ya kila mada kuu ili kumsaidia mwanafunzi kupima uelewa wake wa dhana husika
-Sehemu ya Tafakari mwishoni mwa kila suala kuu, ambayo inalenga kumpa mwanafunzi ari ya kutumia aliyojifunza ili kuboresha hali yake na ya jamii nzima.
ISBN: 9789914441482
-
Longhorn Computer Science Grade 8 (Approved) by Longhorn
KSh877.00Original price was: KSh877.00.KSh790.00Current price is: KSh790.00.Add to cartLonghorn Computer Science Learners Book is a new, concise and comprehensive course book written for Grade 8 learners. It is
developed in line with the Kenya Competency-Based Curriculum (CBC). The aim is to give learners opportunities to develop a wide range of skills and competencies envisaged in the curriculum.ISBN: 9789966644152
-
Longhorn Agriculture Grade 8 (Approved) by Longhorn
KSh722.23Original price was: KSh722.23.KSh650.00Current price is: KSh650.00.Add to cartLonghorn Agriculture Learner’s Book Grade 8 is a new, concise and comprehensive course book written for Grade 8 learners. It is developed in line with the Kenya Competency-Based Curriculum (CBC). The aim is to give learners opportunities to develop a wide range of skills and competencies envisaged in the curriculum.
This book has the following key features:
-Appealing and eye friendly design for ease of reading.
-Use of simple language that is to the level of the learner.
-Relevant, well drawn and full colour illustrations to ease understanding of concepts.
-Well thought-out and engaging activities that help the learners to learn Agriculture through discovery, using hands-on activities.
-Extended activities that will enhance the learners’ collaboration with their parents, peers and the community.
-Presentation of content using the revised Bloom’s taxonomy with the following skills being tested: remembering, understanding, applying, analysing, evaluating and creating.
ISBN: 9789966644138
-
Spotlight Kurunzi ya Kiswahili Gredi 8 (Approved) by Spotlight
KSh1,095.00Original price was: KSh1,095.00.KSh985.00Current price is: KSh985.00.Add to cartKurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8 kimeandaliwa kwa ustadi kuzingatia Mtaala wa Umilisi wa Gredi ya 8. Kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kumudu stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma, Kuandika na Sarufi kwa njia inayoafiki kiwango chake.
Yaliyomo
Kitabu hiki cha mwanafunzi kina mazoezi na mijarabu anuwai, kama vile:
-Shughuli kwa Mwanafunzi-Shughuli ya Wanafunzi Wawiliwawili
-Shughuli ya Vikundi
-Shughuli ya Nyumbani
-Shughuli ya Ziada
-Tamthmini ya Mwisho wa Mada
Kurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8 kina Mwongozo wa Mwalimu unaoandamana nacho ili kumwongoza mwalimu na kumpa mapendekezo ya ufunzaji.
ISBN: 9789966573834
Reviews
There are no reviews yet.