1
KSh290.00

    Cart

    Sale!

    Tausi na majuto katika kisa cha gaidi lii by Chege

    Original price was: KSh356.00.Current price is: KSh320.00.

    Lii ni gaidi sugu anayelihangaisha taifa. Anawatekanyara vijana na kuwafunza jinsi ya
    kuua na kufanya vitendo vya ugaidi. Serikali imejaribu kumkomesha lakini imeshindwa.
    Nani ataweza kumkomesha? Soma hadithi ujionee jinsi kijana mmoja wa mitaani anasaidia kumkomesha gaidi huyo sugu.
    Karang’ae Chege ni mwandishi aliyebobea katika uandishi wa vitabu vya hadithi vya kusisimua.
    Miongoni mwa vichapo vyake vingine ni Safari ya Mabwe ambacho pia kimechapishwa na Queenex Publishers.

    ISBN: 9789966075512

    Reviews

    There are no reviews yet.

    Be the first to review “Tausi na majuto katika kisa cha gaidi lii by Chege”

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    1 of 5 stars 2 of 5 stars 3 of 5 stars 4 of 5 stars 5 of 5 stars

    Sale!
    Make Your Order
    1
    KSh290.00

      Cart

      Call Us
      COMPARE PRODUCTS